kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,525
- 1,941
Watanzania tunaendekeza sana umasikini kwa mshahara wa 1m unaweza kopa 20m mpaka 18m kwa makato ya laki 370000....
Mi nilkopa 20m....5m nikanunua kiwanja Kigamboni
3m nikafungua kwa saloon Uko Kigamboni
10m nikanunua ist ya kuagiza kabisa SBT
Maisha yanasonga mwaka huu mwez wa Sita den linaisha nakopa tena ata 30m mana kipato kimeongezeka naanza ujenz...
Wafanyakazi hasa tusio kua na ofisi zenye dili kua na maisha standard tuitakayo lazima tuingie bank mzee
Mi nilkopa 20m....5m nikanunua kiwanja Kigamboni
3m nikafungua kwa saloon Uko Kigamboni
10m nikanunua ist ya kuagiza kabisa SBT
Maisha yanasonga mwaka huu mwez wa Sita den linaisha nakopa tena ata 30m mana kipato kimeongezeka naanza ujenz...
Wafanyakazi hasa tusio kua na ofisi zenye dili kua na maisha standard tuitakayo lazima tuingie bank mzee