Msukumakizazi
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 2,595
- 2,069
Umber Rhiyo s kama ya nandy?
Umber Rhiyo s kama ya nandy?
Itakuwa anafungia kwenye papuchi.Nunua Solex Ile Kubwa Kwan Anafungia Kwenye Nin?
AsanteNimeshajua unapendelea zipi ntakuletea
bei zao zinaanziaje??? namm nataka kwa mpenzi wangu bonge bongeNenda Cassandra lingeries wapo Benjamin mkapa pension tower
Ngoja na mimi nisubiri hilo jibubei zao zinaanziaje??? namm nataka kwa mpenzi wangu bonge bonge
EwaaaaNa Mikocheni kwa Nyerere pia
6000 kuendelea, zipo mkuu usiwe na shakabei zao zinaanziaje??? namm nataka kwa mpenzi wangu bonge bonge
Kumbe bei ya kawaida hivi...6000 kuendelea, zipo mkuu usiwe na shaka
Chizi kweli wewe.Nunua nyeusi na nyekundu.
Zipo romantic sana.
Chimbo lake ni kariakoo zimemwagwa chini..
Bei ni buku buku..
Ndio mkuuKumbe bei ya kawaida hivi...
Ha Ha Ha Haaaaaa Eti Umeitumia Miezi Sita Duh!Jipange uje nikuuzie yakwangu elfu kumi tu nimeitumia miezi sita tu..,,..... Nadhani ataipenda
BEI JE...MAANA NAMI NATAKA NIMCHUKULIE WIFI YAKO KWA SURPRISE.Nenda Cassandra lingeries wapo Benjamin mkapa pension tower
asante kwa taarifa madamu.ntafatilia6000 kuendelea, zipo mkuu usiwe na shaka