ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,711
- 5,641
Aisee habarini, wadau nina ahadi ya kukutana na mdogo wa rafiki ya mke wangu nikampige gemu Ijumaa ijayo. Sasa nataka nikapige gemu la ukweli na kuachana nae mazima.
Sasa juzi nimekaa nikasema nijaribu viagra ili performance ipande nimle kweli kweli japo sina tatizo lolote la kuamsha dude ni mzima 100 asilimia.
Nimejaribu kucheki internet nikaona kama inaweza kuwa na makomplication na ma side effect kibao pia wameandika sijui mpaka daktari akuandikie .
Sasa je nauliza nikienda famasi siwezi kupata na kununua tu kama tunavonunua panado kiulaini??
Pia kama nikila nitarajie nini ?nisije nikala dude likawa halishuki nitashindwa kwenda kazini.
Huyo mtoto ni mzuri anasoma chuo, ashakula pesa zangu nyingi zaidi ya laki 7. Sasa nataka nimlie viagra
Sasa juzi nimekaa nikasema nijaribu viagra ili performance ipande nimle kweli kweli japo sina tatizo lolote la kuamsha dude ni mzima 100 asilimia.
Nimejaribu kucheki internet nikaona kama inaweza kuwa na makomplication na ma side effect kibao pia wameandika sijui mpaka daktari akuandikie .
Sasa je nauliza nikienda famasi siwezi kupata na kununua tu kama tunavonunua panado kiulaini??
Pia kama nikila nitarajie nini ?nisije nikala dude likawa halishuki nitashindwa kwenda kazini.
Huyo mtoto ni mzuri anasoma chuo, ashakula pesa zangu nyingi zaidi ya laki 7. Sasa nataka nimlie viagra
