Nataka nijaribu viagra, ni hatari au?

Nataka nijaribu viagra, ni hatari au?

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,711
Reaction score
5,641
Aisee habarini, wadau nina ahadi ya kukutana na mdogo wa rafiki ya mke wangu nikampige gemu Ijumaa ijayo. Sasa nataka nikapige gemu la ukweli na kuachana nae mazima.

Sasa juzi nimekaa nikasema nijaribu viagra ili performance ipande nimle kweli kweli japo sina tatizo lolote la kuamsha dude ni mzima 100 asilimia.

Nimejaribu kucheki internet nikaona kama inaweza kuwa na makomplication na ma side effect kibao pia wameandika sijui mpaka daktari akuandikie .

Sasa je nauliza nikienda famasi siwezi kupata na kununua tu kama tunavonunua panado kiulaini??

Pia kama nikila nitarajie nini ?nisije nikala dude likawa halishuki nitashindwa kwenda kazini.

Huyo mtoto ni mzuri anasoma chuo, ashakula pesa zangu nyingi zaidi ya laki 7. Sasa nataka nimlie viagra
 
Kutumia viagra za dukani hakikisha hauna tatizo lolote la kiafya linalohusiana na mzunguko wa damu kama vile blood pressure etc.

Kama uliwahi kua na tatizo hilo au pengine unalo na hujui basi usijaribu kabisa maana utafia gest house na utaleta fedheha kwa familia yako.


Kama unawasiwasi na show zako nakushauri tafuta hivi vitu:

Maziwa fresh (angalau glass moja)
Tende ( tunazokula wakati wa mfungo wa Ramadhan)
Asali (yoyote ile nyuki wadogo au wakubwa).

Cha kufanya:

Tende zako zitoe mbegu, unaweza kuhitaji kuanzia tende 20 (kuboresha matokeo yako).

Baada ya hapo, tia maziwa kwenye blenda, tia tende zako zisizo na mbegu, tia vijiko vya asali kuanzia vitatu.

Washa blenda yako ivisage vizuri mpaka viwe juice kabisa.

Baada kukamilisha juice yako tia kwenye kikombe/glass then kunywa kabla ya 1 hour kwenda kwenye show.

Kwa siku hiyo kumbuka kunywa maji ya kutosha kuanzia asubuhi.

Piga show mkuu.
Usisahau kuleta mrejesho.

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.

Kama huwezi kupata hiyo juice hapo juu na umejihakikishia huna tatizo la kiafya basi nenda pharmacy nunua dawa inaitwa Erecto.
Nakushauri ununue kidonge kimoja cha mg 50 tu, meza nusu saa kabla ya mechi then kutana na mpinzani wako.

Usinunue kidonge cha mg 100.
 
Ukisoma internet wanakuambia kama ukila hii mambo ukimwaga cha kwanza unasubiri dakika mbili tu dude lumeamka unaanza tena ukimwaga tena dakika mbili unapunzika linaamka tena.

Sasa sijajua kama famasi zipo na hata kama zipo je kuna masharti yeyote ya uuzwaji. Mana unaweza kuambiwa lete karatasi ulizoandikiwa na daktar
 
Huna tatizo lakini unataka kumeza Viagra!? Unataka kumkomoa Mkuu!? Haya we meza tu upate heart attack siye tutakusoma kwenye magazeti.

Aisee habarini, wadau nina ahadi ya kukutana na mdogo wa rafiki ya mke wangu nikampige gemu Ijumaa ijayo. Sasa nataka nikapige gemu la ukweli na kuachana nae mazima.

Sasa juzi nimekaa nikasema nijaribu viagra ili performance ipande nimle kweli kweli japo sina tatizo lolote la kuamsha dude ni mzima 100 asilimia.

Nimejaribu kucheki internet nikaona kama inaweza kuwa na makomplication na ma side effect kibao pia wameandika sijui mpaka daktari akuandikie .

Sasa je nauliza nikienda famasi siwezi kupata na kununua tu kama tunavonunua panado kiulaini??

Pia kama nikila nitarajie nini ?nisije nikala dude likawa halishuki nitashindwa kwenda kazini.

Huyo mtoto ni mzuri anasoma chuo, ashakula pesa zangu nyingi zaidi ya laki 7. Sasa nataka nimlie viagra
 
Kuna wanaume mnapenda kujichoresha na kujishushia heshima......we unaona ujanja mwenyewe!!! Mngekuwa mnajua
Tatizo na nyie zinakutana na kila size to the extent ya kuota sugu mnawafanya vijana wasijiamini kabisa..hehe
 
Back
Top Bottom