nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,054
Mimi nadhani kayataja hayo ilikumuonyesha jamaa kama anauhakika na anachokiongea na yuko SingidaMuhaya At work
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nadhani kayataja hayo ilikumuonyesha jamaa kama anauhakika na anachokiongea na yuko SingidaMuhaya At work
We jamaa we, hebu njoo kwa pmWe matako kweli kweli.Au nilivyokuwa nauliza ulidhani sijui kuwa Singida hakuna hoteli yoyote hata kwa ndoto yenye bei ya laki tano/500,000/=
Kama kuna hoteli yoyote Singida yenye chumba bei 200,00/= tuambie.
Msiwe mnapenda ujiko wa kijinga.
Eti siyo ya levo yangu,njoo hapa karibu na Meatu hoteli karibu stendi ya zamani/jengo la CCM uje unywe supu acha kumbwelambwela.
Jioni nakupeleka pale mitaa ya Namfua ukachukue walau dada yako moja ukajipoze,leo madereva wa malori sio wengi.
Kesho asubuhi tukaangalie vitunguu vyangu kule maeneo ya Meria,Ikhanoda,Mtinko,Ilongero,Ngamu halafu tunatokea Gawidu tunaenda Mulbadow mpaka Katesh kuelekea Mwamire karibu na Galapo.
Hahahahahaha!!!!
Kuna ndege kwenda Singida?maana hizi yutong mi sipandiKwa ndege ni saa moja tu, kwa gari masaa 11, kwa pikipiki siku 3, kwa mguu sina uzoefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Pm mkuu wageni wako watafikia mahali salama kabisa kwa bei nafuuGuest house/Lodge/hotels kuanzia 10,000/= hadi 500,000/=?Zipi hizo za laki tano kwa Singida?Ipo moja au zaidi ya moja yenye kiwango cha bei ya laki tano.
Heeeeee!!nijuze nina wageni toka ng'ambo wanakuja Singida soon.
Mkuu umenifanya nipamisi Kateshi.Daah! Kilwa94 Makonde wa Kusini, huwaga nafurahia sana nkifikaga hizi sehemu..kateshi, Babati&Kondoa kuna warembo hatariWe matako kweli kweli.Au nilivyokuwa nauliza ulidhani sijui kuwa Singida hakuna hoteli yoyote hata kwa ndoto yenye bei ya laki tano/500,000/=
Kama kuna hoteli yoyote Singida yenye chumba bei 200,00/= tuambie.
Msiwe mnapenda ujiko wa kijinga.
Eti siyo ya levo yangu,njoo hapa karibu na Meatu hoteli karibu stendi ya zamani/jengo la CCM uje unywe supu acha kumbwelambwela.
Jioni nakupeleka pale mitaa ya Namfua ukachukue walau dada yako moja ukajipoze,leo madereva wa malori sio wengi.
Kesho asubuhi tukaangalie vitunguu vyangu kule maeneo ya Meria,Ikhanoda,Mtinko,Ilongero,Ngamu halafu tunatokea Gawidu tunaenda Mulbadow mpaka Katesh kuelekea Mwamire karibu na Galapo.
Hahahahahaha!!!!
Pita Utemini kwa boma la Mtemi Senge pale aliyekuwa anakamata simba na nyoka cobra na kuwapiga denda wamelegea,kula samaki wa Singidani na Kindai sio sato,mbuzi we nenda kititimo kanunue mzima tafuta washkaji wawili na dada yao mtachuna kuanzia supu mtura,nyamachoma, pilau mbuzi na ndizi mnapika wenyewe halafu unahamia kwa dada yao kupunguza gharama.Asanteni, kwa mjadala huu unifanya niwe mwenyeji kabla hata sijafika huko mwezi ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenifanya nipamisi Kateshi.Daah! Kilwa94 Makonde wa Kusini, huwaga nafurahia sana nkifikaga hizi sehemu..kateshi, Babati&Kondoa kuna warembo hatari
5/5
Muhaya At work
vipi watoto wapo wapo boss?Nauli Ni Tsh 35,000/- hadi Singida/Igunga, Guest house/Lodge/hotels zipo za kumwaga Ila nzuri Ni mbali kidogo na stand kuanzia 10,000/- hadi 500,000/- uwezo wako tu, chakula utakula unachotaka, vinywaji Kama kawa!!!!
Karibu sana mgeni mtarajiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Pm mkuu wageni wako watafikia mahali salama kabisa kwa bei nafuu
Wadau, naomba msaada wenu kwa wenye uzoefu wa kwenda Singida. Sijawahi kusafiri kwenda mkoa huo na ninataka kusafiri mwanzoni mwa mwezi wa Machi mwaka huu.
Ninaomba kuelekezwa mambo yafuatayo ili niweze kupanga bajeti yangu vizuri.
1. Nauli kutoka Dar hadi Singida Igunga
2. Gharama za malazi guest shilingi ngapi na zinapatikana karibu na stand?
3. Nitafika saa ngapi nikitoka Dar saa kumi na mbili au saa moja asubuhi
Nitashukuru sana kwa msaada walau na mimi nifanye ziara ya siku mbili katika mikoa hiyo maana napasikia tu na sina uzoefu wa kusafiri safari ndefu, kwa hiyo itakuwa safari yangu ya kwanza.
Asante kwa muda wako na msaada wako
Mdau wa JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitakutafuta nikija huko next monthHahahahaha!!!!Breki ya Kenge?Mimi ni breki ya fisi wa Kititimo na Kinyeto pale unapoelekea Ilongero kabla ya Kijota na Mtinko.Halafu nazungukia Makiungu na Mungaa kuja Choda to Mkiwa.
Umechelewa hater, wenye akili timamu washajibu maswali we endelea na ujinga wako, shenz taipPole Sana Igunga iko Tabora , huna sababu ya kujua vyote hivyo utatishika kwenda Muhimu ujue kiswahili, ujiamini Kwa sababu Kule unakutana na Watanzania , kama huna pa kulala Kuna msikiti au kanisa utalala. Hayo maswali ungeuliza kama ungekuwa unaenda Bulawayo si Singida au Kazuramimba
Asanteni, kwa mjadala huu unifanya niwe mwenyeji kabla hata sijafika huko mwezi ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Singida kuna nyumba ya kulala bei laki tano/500,000/=??
Ni ipi hiyo naomba ututajie,acha kutoa like za kipuuzi!!
Soon kuna wageni wangu wanakuja huko kikazi,ni international status.
Au wakati unaandika viroba vya pale Serengeti baa karibu na Singida motel/Furaha Cinema vilishaharibu ubongo wako?
Kwa kukusaidia tu ni kwamba Igunga ni wilaya mojawapo katika mkoa wa Tabora na si singida kama ulivyoandika, ila kubwa zaidi ni kwamba uishukuru serikali ya awamu ya Tano kwa kuwa ukilipa nauli ya Dar kwenda Singida utapita mikoa ya Pwani, Morogoro na Dodoma bureeeeee!