davetz28
JF-Expert Member
- Dec 17, 2017
- 543
- 617
Wadau, naomba msaada wenu kwa wenye uzoefu wa kwenda Singida. Sijawahi kusafiri kwenda mkoa huo na ninataka kusafiri mwanzoni mwa mwezi wa Machi mwaka huu.
Ninaomba kuelekezwa mambo yafuatayo ili niweze kupanga bajeti yangu vizuri.
1. Nauli kutoka Dar hadi Singida Igunga
2. Gharama za malazi guest shilingi ngapi na zinapatikana karibu na stand?
3. Nitafika saa ngapi nikitoka Dar saa kumi na mbili au saa moja asubuhi
Nitashukuru sana kwa msaada walau na mimi nifanye ziara ya siku mbili katika mikoa hiyo maana napasikia tu na sina uzoefu wa kusafiri safari ndefu, kwa hiyo itakuwa safari yangu ya kwanza.
Asante kwa muda wako na msaada wako
Mdau wa JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaomba kuelekezwa mambo yafuatayo ili niweze kupanga bajeti yangu vizuri.
1. Nauli kutoka Dar hadi Singida Igunga
2. Gharama za malazi guest shilingi ngapi na zinapatikana karibu na stand?
3. Nitafika saa ngapi nikitoka Dar saa kumi na mbili au saa moja asubuhi
Nitashukuru sana kwa msaada walau na mimi nifanye ziara ya siku mbili katika mikoa hiyo maana napasikia tu na sina uzoefu wa kusafiri safari ndefu, kwa hiyo itakuwa safari yangu ya kwanza.
Asante kwa muda wako na msaada wako
Mdau wa JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app