mgendege
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 299
- 350
Nataka mke miaka 25-30 asitoke Dar awe anatoka mikoani. Elimu kuanzia Darasa la Saba mpaka Form Four, awe anatoka familia ya kipato cha chini, awe mtafutaji na mwenye mawazo positive ya maisha hata kama ana mtoto mmoja sio zaidi, awe mkristu au awe tayari kubadilisha dini, asiwe mwembamba mnene kiasi, awe na hofu ya Mungu asiwe mlevi au kuji chu kwa iyo
Kama una mdogo wako yupo nyumbani au Dada ako naomba msaada kumfikishia kusudi langu najua wadada Elimu ya chini wanakuaga na simu za kitochi sorry asiwe ame ajiliwa Serikarini mimi nina miaka 33 Elimu form four nime jiajiri.
Angalizo wadada munao tafuta waume wenye degree kama ninyi mtasubiri sana mausiono nimaelewano kwanza saizi wanaume ambao hawana degree ndio watafutaji sana asilimia kubwa
Kama una mdogo wako yupo nyumbani au Dada ako naomba msaada kumfikishia kusudi langu najua wadada Elimu ya chini wanakuaga na simu za kitochi sorry asiwe ame ajiliwa Serikarini mimi nina miaka 33 Elimu form four nime jiajiri.
Angalizo wadada munao tafuta waume wenye degree kama ninyi mtasubiri sana mausiono nimaelewano kwanza saizi wanaume ambao hawana degree ndio watafutaji sana asilimia kubwa