Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 308
- 399
Awe:
●Dini yoyote ila asiwe na msimamo mkali
●Kabila lolote
●Miaka 31 kushuka chini
●Elimu form 4 na kuendelea
●Kazi yoyote (si lazima)
●Awe tayari kuishi Mahali popote Tanzania au nje(anifuate nilipo)
●Ahakikishe amejikana mwenyewe na kujitwika msalaba wa uaminifu kisha anifuate
♡Ukiwa na hizi sifa njoo PM ambako tutapeana namba tuweze kufahamiana vizuri na maisha yaanzie hapo
MIMI:
●Mkristo
●miaka 31
Sifa zangu zingine nitakupa PM ila usiogope ni Raia mwema,mcha MUNGU, najishughulisha na nina malengo makubwa.
Kwa sasa naishi mkoa mmojawapo kanda ya kusini mwa Tanzania na huyo atayekuwa mke wangu awe tayari kuja tuishi huku.
Karibu
●Dini yoyote ila asiwe na msimamo mkali
●Kabila lolote
●Miaka 31 kushuka chini
●Elimu form 4 na kuendelea
●Kazi yoyote (si lazima)
●Awe tayari kuishi Mahali popote Tanzania au nje(anifuate nilipo)
●Ahakikishe amejikana mwenyewe na kujitwika msalaba wa uaminifu kisha anifuate
♡Ukiwa na hizi sifa njoo PM ambako tutapeana namba tuweze kufahamiana vizuri na maisha yaanzie hapo
MIMI:
●Mkristo
●miaka 31
Sifa zangu zingine nitakupa PM ila usiogope ni Raia mwema,mcha MUNGU, najishughulisha na nina malengo makubwa.
Kwa sasa naishi mkoa mmojawapo kanda ya kusini mwa Tanzania na huyo atayekuwa mke wangu awe tayari kuja tuishi huku.
Karibu