Kufanya hivyo siyo kutatua tatizo mkuu, ushauri wangu mm ni msimamo wa huyo seet wako tuu ndio utamfanya anayemfuata aache. Na kama huyo seet wako anakupenda anaweza kum expose mbele yako na kuwa naomba usinifuate huyo hapa ndiyo mmiliki. Simple and clear.
Aghrrr mapenzi ya watoto bwana ya kiswazi kiswazi, hiki nacho ndo kitu gani cha kuwashirikisha watu wenye akili zao.
Kiongozi Issue hapa ni veri simpo.
Kwanza usiogope uwezo wake kifedha na wala hakuna sababu yeyote ya kufanya visa.Kuwa jasiri na jiamin. Money can't buy love mkubwa.
fanya mambo yafuatayo. lakin hakikisha kuwa huyo baby wako nae yuko serious isije kuwa nae anajipeleka halaf anakuambia anasumbuliwa.
1. Mwambie huyo baby wako amweleze kuwa hayuko tayari kuwa nae kwenye mahusiano ya kimapenzi na pia amtaarifu kuwa hiyo issue pia ameshakueleza.
2. mtafute rafiki yake wa karibu wa huyo jamaa kama wewe hautopenda kuonana nae uso kwa uso,mweleze issue yote then akamweleze kuwa umemuomba kwa ustaarabu na busara asimsumbue baby wako. nadhan ukitumia ustaarabu atakuona mtu mwelewa na kama nae ni mwelewa basi ataacha na bila kuwekeana visa. usitumie shari wala visa maana nae atajibu mapigo
3. kama bado itashindikana basi mshauri baby wako abadilishe namba zake za mawasiliano pia ajaribu kuepeka kutembelea sehem ambazo ni rahisi kukutana na huyo jamaa. Mwisho kuwa karibu zaidi na baby wako muonyeshe mapenzi ya dhati. Ni hayo tuu kwa ufupi
Ua paka mtaani kwenu, mfumnge vizuri kwenye parcel, kisha itume kwake... nakwambia hatorudia
Jamaa ana madharau kweli kweli. Naomba unipe kisa kingine ili nikiache hiki.
Najiamini sana, sifa zote ninazo. Ila jamaa anaua huyo, ukichangaya na mkwanja wake balaa tupu.
mmmhhhh jamni wewe..
nani alikwambia dawa ya moto ni moto??
hapo kwa kweli unajidanganya..
na mie naona kama umeamua kufanya visa..
fanya lakini chunga usifanye kitu ambacho
kitaumiza familia nzima kwani si wote wenye makosa...
lakini si vema kabisa kudharau maadili ya dini ya mtu..
hapo kwenye kitimoto kweli sahau..
Borea umtokee live
kuliko kumuharibia nafsi yake..
kwa kweli haya mambo mie naona ni ya kitoto sana..
visa kama hivi havikufikishi mbali..
kweli hilo la nyama inaonekana ni jambo la kitoto sana
mtu mzima mwenye akili zake hawezi fanya hivyo..
Yaani hii imetulia mno! Imejaa busara tele na hekima za hali ya juu..ningekuwa naweza kukugongea 50 THANKS basi ningefanya hivyo. Ubarikiwe sana AD.
kwa hiyo ww unatafuta visa tu basi! kama umezidiwa mapigo na mapenzi imekula kwako bana!
Jamaa ana madharau kweli kweli. Naomba unipe kisa kingine ili nikiache hiki.
mmhh BAK
mmhhh acha hivyo wanifanya mie ni blash ...lol
asante sana dear
means a lot ...
Asante kwa ushauri wako mkuu