meralyussufmeral
Member
- Apr 8, 2012
- 29
- 0
Natumaini hamujambo mabibi na mabwana so nilikuwa natafuta rafiki wa kike mwenye age 21 anaejielewa maana wengi wao wamekuwa hawajielewi na kuwa na tamaa ya vitu fulani ila kama unae mpenzi wako please usimuwache ninachotaka mm asiyekuwa na mchumba kama mimi ahsanteni