magwanda yako ya kiume tu wanawake hawajapatiwa kwani nayoyaona wamevaa viti maalum si ya kike yaani hayawatoi sex teh teh ahaaaaaaaaa msinigombeze huwa napenda nikivaa kitu nikipita nistue japo kiduchu mwenye kujua naweza kupata wapi la hivyo anitonye
Si na wewe uchague mojawapo uipige utamsikia mwenye nayo!!! Hawa jamaa siyo kama wale wa chama cha kijani, hawa wanapokea simu na mnaongea usitake kila kitu watu wakutafunie ndugu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.