kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,028
- 2,169
Nina ndoto toka nikiwa Mdogo kwenda ulaya nikaishi huko.... Sasa naomba msaada kujua vitu vifuatavyo
1.ni nchi gan ambayo ina fursa nyingi za kukuingizia kipato haswa huko ulaya
2.ni nchi gan isiyokua na ubaguzi wa rangi yan mtu yeyote anaishi bila kubuguziwa ata kidogo..
3.ni nchi gan ambazo wanatoa scholarship za kusoma masters huko ulaya yan free
4.nan ambaye ka experience maisha ya huko ulaya na jambo gan alikutana nalo uwenda baya ama zuri ambalo hatoweza sahau..
5.anayejua utaratibu wa kufuata hadi mtu ufike ulaya...
Je! Kuna website yeyote ile inayo husika na michongo ya ulaya kama kikazi ama kimasomo.. Ama kuhamia kabisa iwe kama nchi yako..
Mwenye anajua naomba msaada huo kama kuna website tusaidiane.. Napenda sana maisha ya ulaya kiujumla..
KARIBU ULAYA BONGO....
1.ni nchi gan ambayo ina fursa nyingi za kukuingizia kipato haswa huko ulaya
2.ni nchi gan isiyokua na ubaguzi wa rangi yan mtu yeyote anaishi bila kubuguziwa ata kidogo..
3.ni nchi gan ambazo wanatoa scholarship za kusoma masters huko ulaya yan free
4.nan ambaye ka experience maisha ya huko ulaya na jambo gan alikutana nalo uwenda baya ama zuri ambalo hatoweza sahau..
5.anayejua utaratibu wa kufuata hadi mtu ufike ulaya...
Je! Kuna website yeyote ile inayo husika na michongo ya ulaya kama kikazi ama kimasomo.. Ama kuhamia kabisa iwe kama nchi yako..
Mwenye anajua naomba msaada huo kama kuna website tusaidiane.. Napenda sana maisha ya ulaya kiujumla..
KARIBU ULAYA BONGO....