UAN
Member
- Sep 19, 2016
- 38
- 30
Hicho ni kiswedish nenda google translate au kama unatumia google chrome kunaoption ya kutranslateAlafu sijui wanatumia lugha gani hii mkuu
Hicho ni kiswedish nenda google translate au kama unatumia google chrome kunaoption ya kutranslateAlafu sijui wanatumia lugha gani hii mkuu
Ukiishi Dar miaka mingi huwezi kuona fursa za maisha, utakuwa na akili ndogo ya kudhani maisha yapo ulaya tu, wakati hiyo pesa uliyonayo unataka kuitumia kama nauli ni mtaji wa kilimo kabisa,siku hizi tunaenda ulaya kutembea na siyo kuishiNina ndoto toka nikiwa Mdogo kwenda ulaya nikaishi huko.... Sasa naomba msaada kujua vitu vifuatavyo
1.ni nchi gan ambayo ina fursa nyingi za kukuingizia kipato haswa huko ulaya
2.ni nchi gan isiyokua na ubaguzi wa rangi yan mtu yeyote anaishi bila kubuguziwa ata kidogo..
3.ni nchi gan ambazo wanatoa scholarship za kusoma masters huko ulaya yan free
4.nan ambaye ka experience maisha ya huko ulaya na jambo gan alikutana nalo uwenda baya ama zuri ambalo hatoweza sahau..
5.anayejua utaratibu wa kufuata hadi mtu ufike ulaya...
Je! Kuna website yeyote ile inayo husika na michongo ya ulaya kama kikazi ama kimasomo.. Ama kuhamia kabisa iwe kama nchi yako..
Mwenye anajua naomba msaada huo kama kuna website tusaidiane.. Napenda sana maisha ya ulaya kiujumla..
KARIBU ULAYA BONGO....
Wametuacha vibaya usifananishe kabisa Africa ni nchi chache sana ndo za maanaBara la Asia brooo si kama Africa tuu.. Ulaya mkuu ndio nahitaji huko
SvenkaAlafu sijui wanatumia lugha gani hii mkuu
Nina ndoto toka nikiwa Mdogo kwenda ulaya nikaishi huko.... Sasa naomba msaada kujua vitu vifuatavyo
1.ni nchi gan ambayo ina fursa nyingi za kukuingizia kipato haswa huko ulaya
2.ni nchi gan isiyokua na ubaguzi wa rangi yan mtu yeyote anaishi bila kubuguziwa ata kidogo..
3.ni nchi gan ambazo wanatoa scholarship za kusoma masters huko ulaya yan free
4.nan ambaye ka experience maisha ya huko ulaya na jambo gan alikutana nalo uwenda baya ama zuri ambalo hatoweza sahau..
5.anayejua utaratibu wa kufuata hadi mtu ufike ulaya...
Je! Kuna website yeyote ile inayo husika na michongo ya ulaya kama kikazi ama kimasomo.. Ama kuhamia kabisa iwe kama nchi yako..
Mwenye anajua naomba msaada huo kama kuna website tusaidiane.. Napenda sana maisha ya ulaya kiujumla..
KARIBU ULAYA BONGO....
Ukitaka scholarship lazima uwe na GPA ya maana. Tumia google utaelewa tu.Lakini hyo lugha sijaielewa na vp masters za huko wanataka GPA ya point ngapi?
Nikweli kabisa bongo kuna uhuru wa kupitiliza, yaani kiujumla maisha mazuri yapo Africa labda kwa wazungu uende kutafuta hela tu na kurudi kuzitumia bongo.ndugu baki hapa kama unatafuta maisha,huko ni kugumu kwa kila jambo,wewe hapa utakuwa moja ya mlalamikaji wakusema serekali yetu ukusanyaji wa kodi,huko baba kila kitu kodi mpaka chakula,wakati huku free
Website nzuri sanaInategemea na masomo unayotaka kusoma. Kwa kuishi bila tabu ni inchi za Scandinavia moja wapo ni sweden (hiyo ni kutokana Na experience yangu) sijawahi kusikia ubaguzi wowote Huku Na hiyo yote ni kwasababu wana sheria kali sana. Kama ni kwaajili ya kusoma masters chukua hii website www.si.se unaweza bahatika.