Nataka kwenda Brunei, ubalozi wake Dar uko wapi?

Nataka kwenda Brunei, ubalozi wake Dar uko wapi?

Nimepata Demu huko, sasa anataka kunitumia Barua ya mwaliko kwa ajili ya kupata Visa sasa ndio sijui Embassy yake iko wapi.
 
Niko Serious wadau ni demu wangu tangu mwaka 2014 mwisho na yeye ameshawai kuja Hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom