Nataka kuwa Mwanajeshi (JWTZ)

mujesh anavokfa mwanajesh anazaliwa mi mwenyewe ni mjesh mtarajiwa bora nkafe kuwatetea vlaza wabongo ndege iliyomleta raic wa chna iliondoka na tembo duu tz ngoja niende jesh na ka elimu kangu ntawakazia mura
 
Kama wewe kula Kuala uwezi alafu we wewe unaonyesha motto wamama utaweza
 
mujesh anavokfa mwanajesh anazaliwa mi mwenyewe ni mjesh mtarajiwa bora nkafe kuwatetea vlaza wabongo ndege iliyomleta raic wa chna iliondoka na tembo duu tz ngoja niende jesh na ka elimu kangu ntawakazia mura

Mimi sio mwanajeshi ila nijuavyo jeshini lazma uwe mtiifu especially kama mwanajeshi amekuzidi cheo, sasa kwa jinsi nionavyo wewe ndo utaamrishwa kupakia hizo pembe za ndovu na salute juu.
 
Hahahaa hizi kazi sasa zinatafutwa kwa tochi. Kule utakiwi kwenda nusu nusu watu huwa wanazimia kule babake. Kma nyie ndo wageni mnakuja mnawakuta wanaomalizia wanajiandaa kuondoka hao ndo wanawapa mazoezi bwana weee n kama mtihani anatunga mwanafunzi mwenzako anataka ufeli umuone yeye nomaaaa. Hakuna kulalaaa utembelee vipepsi posta hadi kibahaa mchezo nini
 
Mmmmh wamebeba nyama waliopewa na nani?
mujesh anavokfa mwanajesh anazaliwa mi mwenyewe ni mjesh mtarajiwa bora nkafe kuwatetea vlaza wabongo ndege iliyomleta raic wa chna iliondoka na tembo duu tz ngoja niende jesh na ka elimu kangu ntawakazia mura
 
nataka jeshi kubwa kama korea kaskazin lenye wataalam kisayansi,kiteknolojia,uchumi,kijamii,kimichezo,kiutamaduni wengi,asiyetaka akaishi uhamishon mpka ntakapokufa
 
nataka jeshi kubwa kama korea kaskazin lenye wataalam kisayansi,kiteknolojia,uchumi,kijamii,kimichezo,kiutamaduni wengi,asiyetaka akaishi uhamishon mpka ntakapokufa

Karibu kiongozi,
 
Dah...! Kisaikolojia nimejiandaa vya kutosha....hayo mazoezi....nitaweza tu bana.. I am a man!
 

Mkuu kwani wewe ni kabila gani? maana kuna kabila ambalo ili uonekane shujaa unatakiwe uwe mjeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…