Lkn lazma naww uwe.....ndio akupe umaarufu.Kuna bwana mmoja instagram anajiita James delicious naskia ukiwa rafk yake lazma uwe maarufu!
ndo umekurupuka Leo???Ndio mimi nanyupu kwan vp
Kazi ndogo sana iyo nenda pale ikulu magogoni kafanye fujo piga sana walinzi waikulu mbona siku 1 dunia nzima ishakujua ingawa tayari utakuwa MAREHEMUHabali wakuu mimi ni kijana wa miaka 25 sina mke wala mtoto lakin natafuta umarufu kwa hali na mali sasa nifanyeje ili niwe maarufu lakin sitak umarufu wa mda mfupi kama wa saed kubenea nataka umarufu wa mda mrefu kama wa lowasa na kikwete sasa nifanyeje ili niwe maarufu au nimutukane mtukufu na nijilekod afu nitupie mtandaon lakin naogopa sina milion saba naomben ushauri wenu nifanyeje ili niwe maarufu yaan nataka kila mtu anijue mitandao yote iniandike niwe news kwenye hii nchi ya nyerere nifanyeje wadau au nimutukane samia
hapo mpka wanyama watamjuaGOMBEA UMISS TANZANIA
Mkuu huyo jamaa anakujaga sinza, jamaa ana nata balaaKuna mwenzio anatembeaga kwa kunata barabarani.... Sasa wewe vua nguo utembee uchi kila siku jion.
Fanya tafuta waandishi wa habari kila siku uwe unaenda kuny.a pale kariakoo kwenye mataa huku wahandishi wa habri wakipiga picha nakuchukua maelezo, kila siku una kuwa unabadilisha mazingira leo kariakoo kesho posta, siku nyingine Nazi mmoja unakuwa unaandaa elfu hamsini ya faini tu ya uchafuzi wa mazingira, hapo lazima uwe maarufu tuHabali wakuu mimi ni kijana wa miaka 25 sina mke wala mtoto lakin natafuta umarufu kwa hali na mali sasa nifanyeje ili niwe maarufu lakin sitak umarufu wa mda mfupi kama wa saed kubenea nataka umarufu wa mda mrefu kama wa lowasa na kikwete sasa nifanyeje ili niwe maarufu au nimutukane mtukufu na nijilekod afu nitupie mtandaon lakin naogopa sina milion saba naomben ushauri wenu nifanyeje ili niwe maarufu yaan nataka kila mtu anijue mitandao yote iniandike niwe news kwenye hii nchi ya nyerere nifanyeje wadau au nimutukane samia
Ukikaa katika kundi la watu jambaa sanaaa yani jambaa saana hapo wataanza kukuzungumzia tu zen tafuta kitu cha kufanya utaitwa flani mjambaji jichetue tu
Yule ShogaKuna bwana mmoja instagram anajiita James delicious naskia ukiwa rafk yake lazma uwe maarufu!