Nataka kuwa maarufu

Yan ilo jina lako na ulivyoandka vinaonesha ni jins gan ulivyo Galasa

Nenda kajitose Baharini utakuwA maarufu
 
Habali wakuu mimi ni kijana wa miaka 25 sina mke wala mtoto lakin natafuta umarufu kwa hali na mali sasa nifanyeje ili niwe maarufu lakin sitak umarufu wa mda mfupi kama wa saed kubenea nataka umarufu wa mda mrefu kama wa lowasa na kikwete sasa nifanyeje ili niwe maarufu au nimutukane mtukufu na nijilekod afu nitupie mtandaon lakin naogopa sina milion saba naomben ushauri wenu nifanyeje ili niwe maarufu yaan nataka kila mtu anijue mitandao yote iniandike niwe news kwenye hii nchi ya nyerere nifanyeje wadau au nimutukane samia
Kazi ndogo sana iyo nenda pale ikulu magogoni kafanye fujo piga sana walinzi waikulu mbona siku 1 dunia nzima ishakujua ingawa tayari utakuwa MAREHEMU
 
Habali wakuu mimi ni kijana wa miaka 25 sina mke wala mtoto lakin natafuta umarufu kwa hali na mali sasa nifanyeje ili niwe maarufu lakin sitak umarufu wa mda mfupi kama wa saed kubenea nataka umarufu wa mda mrefu kama wa lowasa na kikwete sasa nifanyeje ili niwe maarufu au nimutukane mtukufu na nijilekod afu nitupie mtandaon lakin naogopa sina milion saba naomben ushauri wenu nifanyeje ili niwe maarufu yaan nataka kila mtu anijue mitandao yote iniandike niwe news kwenye hii nchi ya nyerere nifanyeje wadau au nimutukane samia
Fanya tafuta waandishi wa habari kila siku uwe unaenda kuny.a pale kariakoo kwenye mataa huku wahandishi wa habri wakipiga picha nakuchukua maelezo, kila siku una kuwa unabadilisha mazingira leo kariakoo kesho posta, siku nyingine Nazi mmoja unakuwa unaandaa elfu hamsini ya faini tu ya uchafuzi wa mazingira, hapo lazima uwe maarufu tu
 
Fanya jaribio lakumteka mtukufu, yaani utakuwa maarufu dunia nzima itakutambua
 
Back
Top Bottom