Kaka kwa Tz hamna chuo cha maana..km unataka ufanikiwe ktk urubani na unataka ufike mbali, vyuo vizur vipo south Africa, ila andaa kama million 100 hv.. Shida ukisoma tz ni wapi utapata kaz. Tz hamna ndege za kutosha.. Pia baada ya kusoma unatakiwa upate mazoez ya kutosha na kutengeneza masaa ya kutosha.. Maana urubani sio km course zingne za chuo, wao unapata experience zaid kwa kuwa angani muda mwingi. Na kama unataka kaz nzuri ya uribani lazma uwe una masaa ya kutosha haijalish darasani ulifaulu vizuri kias gani.. Muda mwng wanaangalia ni muda kias gani umekuwa nao angani