Kelvin Magwila
New Member
- Feb 5, 2015
- 2
- 97
Nina BA nataka nisome Masters of business administration mwakani naweza kupata chance chuo gani kwa urahisi!?
Ulisoma chuo gani?Nina BA nataka nisome Masters of business administration mwakani naweza kupata chance chuo gani kwa urahisi!?
Kwa kauli hii "...wapi naweza kupata chuo kwa urahisi" GPA ina walakinihiyo bachelor ya BA una GPA ya ngapi?
Unaisikia au unaifahamu DUCE?Nimesoma DUCE