Lawkeys
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 1,118
- 287
Waungwana, naomba niulize swali la kiungwana tuweze kushare uzoefu. Ninataka kusoma kozi yenye tija kwa kulingana na soko la ajiri Tanzania kwa sasa na baadaye. Sasa naomba ushauri wenu wa kiungwana nisome course ipi kati ya hizi na kwanini. Ni level ya Diploma wakuu.
1. Sociology
2. Social work
3. Human Resource
4. Business Administratio; na
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
1. Sociology
2. Social work
3. Human Resource
4. Business Administratio; na
Natanguliza shukrani zangu za dhati.