Nataka kuongeza mke wa pili

Nataka kuongeza mke wa pili

UMASIKINI BWANA

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2013
Posts
942
Reaction score
567
Hi JF.

Nina mke mmoja kutokana na majukumu tuliyonayo nimejadili na mke wangu niongeze mrembo kisura sana.

Awe na sifa zifuatazo;
1.Mpenda maendeleo.
2.Maji ya kunde.
3.Asiwe mwembamba sana.
4.Mpole
5.Awe tayari kuhudumia mifugo.
6.Kilimo
7.Hakuna binti mbaya hata ukipaka Nivea Revlon si mbaya.
8.Koni napenda sana.
9.Asiwe kiburi
10.Picha yako itanivutia nikutafute ulipo
11.Elimu la saba au form 4
12.Tutaishi wilayani Korogwe Tanga
 
Hongera mkuu kwa nia yako ya kutimiza amri. " Oeni wake wawili, watatu au wanne, ukishindwa kufanya uadirifu oa mmoja".nakutakia uadirifu mwema. hata hivyo usitumie mali ulizonazo kama kishawishi cha kupatia mke. Itakuja kukugharum baadaye
 
797df7afd9e856b96a10ad1fd7d867f4.jpg
 
Hadi mkeo amekubali uongeze mke wa pili bac naimani ni mtu mwenye imani hvy jitahid naww utakaye mpata awe na imani in case ukitaka kuongeza wa tatu usipate shida
 
Haya nakutakia maandalizi mema ya kutaka kuoa MKE wa pili
 
Hadi mkeo amekubali uongeze mke wa pili bac naimani ni mtu mwenye imani hvy jitahid naww utakaye mpata awe na imani in case ukitaka kuongeza wa tatu usipate shida
Mke wangu kanishawishi mwenyewe niongeze tototo kwakuwa mziki wangu sio kitoto ndo mana kasema niongeze ili aweze kupumzika na aje kumsaidia shughuli za usimamizi wa mifugo zimemuelemea nimemnunulia touch huawei mpya furaha niliyopata kuongeza chuchu msumali
Hadi mkeo amekubali uongeze mke wa pili bac naimani ni mtu mwenye imani hvy jitahid naww utakaye mpata awe na imani in case ukitaka kuongeza wa tatu usipate shida
Mke wangu kanishawishi mwenyewe niongeze tototo kwakuwa mziki wangu sio kitoto ndo mana kasema niongeze ili aweze kupumzika na aje kumsaidia shughuli za usimamizi wa mifugo zimemuelemea nimemnunulia touch huawei mpya furaha niliyopata kuongeza chuchu msumali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom