Nataka kuomba chuo, je nitapata?

Nataka kuomba chuo, je nitapata?

Keneth

Senior Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
195
Reaction score
47
Salama wandugu,

Wandugu nilikua naogopa kuapply chuo baada ya kumaliza degree ya kwanaza mwaka 2011 na kuona kama haina msaada saana katika kujichanganya kwangu uswazi. je naweza kupata chuo nikiapply upya kama fresh from school maana nina History C Geograph E Kiswahili E ya mwaka 2008.
 
Salama wandugu,

Wandugu nilikua naogopa kuapply chuo baada ya kumaliza degree ya kwanaza mwaka 2011 na kuona kama haina msaada saana katika kujichanganya kwangu uswazi. je naweza kupata chuo nikiapply upya kama fresh from school maana nina History C Geograph E Kiswahili E ya mwaka 2008.
soma postgraduatae diploma ya fani unayoitakaa mambo ya kurud chuo tenaa ukawe fresher sio mchongo kabsaa.afuu pia tuambie ulisoma fani gani ?
 
Nimesoma ba in mass communication big ushauri wako mzuri
 
Salama wandugu,

Wandugu nilikua naogopa kuapply chuo baada ya kumaliza degree ya kwanaza mwaka 2011 na kuona kama haina msaada saana katika kujichanganya kwangu uswazi. je naweza kupata chuo nikiapply upya kama fresh from school maana nina History C Geograph E Kiswahili E ya mwaka 2008.
Ndugu usisubutu.maana kwa sasa huna sifa
 
Mbona nimeingia kwenye guidline ya kuomba nimeona nipo ok
 
Back
Top Bottom