Umeongea ukweli mkuu, mimi kaa niko na degree 2 au 3 siwezi kamwe oa mtu ambae hana degree, coz level yake ya kureason kaa tuseme ni wa form 4 au la 7 ni mdogo sana, itabidi kaa unataka ishi nae umurudise shuleni akapate degree, najua wengi watanipinga kwa hili lakini sio neno, huwezi kaa maisha balanced kaa tofauti ya elimu ni kubwa, na ukiona wanaume wengi ambao ni wasomi ambao wameona wake wa elimu duni huwa wengi wanataka tu kuDOMINATE wale wake zao, maana mama watoto atajiona hana elimu so anything mume anasema she cant opose, and aslo nafikiri mke ni mtu wa hata kukusaidia na maarifa, so kaa umesoma na yeye hajasoma tatizo ni kubwa.