Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Iwe isiwe nataka kuoa mwanamke msomi; mwanamke anayejitambua asiyepelekwa pelekwa tu kama kondoo apelekwavyo machinjioni.
Na ikiwezekana atoke familia inayojiweza kiuchumi ili nipate msaidizi kweli kweli kama maandiko yanavyosema.
Sichukii wala sidharau wanawake ambao hawajasoma na wasiotoka familia zinazojiweza ila natafuta wa kufanana nae.
USHAURI KWA AMBAO BADO HAMJAOA
* Kama umesoma oa aliyesoma ili kuepusha malumbano. Ukioa msomi halafu wewe hujasoma utaugua ugonjwa wa "complex inferiority" dalili zake ni kujihisi amekudharau kumbe ni ugonjwa wako mwenyewe. Na ukioa mtoto wa kishua wakati mwenu hali sio nzuri asilimia kubwa utajihisi kunyanyaswa na utapoteza haki yako ya mzaliwa wa kwanza kama Hesau kisa kunde.
Asanteni.
Na ikiwezekana atoke familia inayojiweza kiuchumi ili nipate msaidizi kweli kweli kama maandiko yanavyosema.
Sichukii wala sidharau wanawake ambao hawajasoma na wasiotoka familia zinazojiweza ila natafuta wa kufanana nae.
USHAURI KWA AMBAO BADO HAMJAOA
* Kama umesoma oa aliyesoma ili kuepusha malumbano. Ukioa msomi halafu wewe hujasoma utaugua ugonjwa wa "complex inferiority" dalili zake ni kujihisi amekudharau kumbe ni ugonjwa wako mwenyewe. Na ukioa mtoto wa kishua wakati mwenu hali sio nzuri asilimia kubwa utajihisi kunyanyaswa na utapoteza haki yako ya mzaliwa wa kwanza kama Hesau kisa kunde.
Asanteni.