Nataka kuoa baada ya Ramadhan

Nataka kuoa baada ya Ramadhan

Mr Bean

JF-Expert Member
Joined
Mar 17, 2018
Posts
206
Reaction score
178
Hamjambo wadau,

Naam kama kichwa cha habari kinavyosema,

Nimefikia uamuzi huu kwa sababu nyingi tofauti, ila ni jambo jema sana kuoa.

Niombeeni dua.
 
inshallah wee oa tu mkuu.
yaan hayo ndo maisha wengine tunafurah kutoka katika kifungo cha ndoa wengine wanafurahia kuingia katika ndoa yaani ni mzunguko usio na kanuni maalum.
so oa boss hahaha.
 
inshallah wee oa tu mkuu.
yaan hayo ndo maisha wengine tunafurah kutoka katika kifungo cha ndoa wengine wanafurahia kuingia katika ndoa yaani ni mzunguko usio na kanuni maalum.
so oa boss hahaha.
hewalaaaa
 
Oa mda huu wa ramadhan, watu hawatakula maana wamefunga so utasave bajeti ya chakula. kuwa mjanja...tembelea matukio
 
Oa mda huu wa ramadhan, watu hawatakula maana wamefunga so utasave bajeti ya chakula. kuwa mjanja...tembelea matukio
mkuu unataka harusini niwe peke yangu ?
nani atakuja harusini akijua hamna maakuli
 
Back
Top Bottom