isaiah9
Member
- Jun 29, 2014
- 71
- 66
Unapeeenda lg weweKwa hapo g3 ni the best
Unapeeenda lg weweKwa hapo g3 ni the best
ndo campuny chache znazofanya mambo seriousUnapeeenda lg wewe
Wanazingua screen nying znaaribika znaaribika vioondo campuny chache znazofanya mambo serious
Samsung nzuri....bajeti yako ndio itaweza chagua simu nzuri
iPhone 7 plus matte black
iPhone s7 balaa blue
Kizazi cha Samsung
S8 1.7mil
S8+ 1.9mil
Infinix note 3 ni nzuri
Mkuu wewe ndo unafeli, usifananishe mtihani na vitu vya ajabu ajabu.Kama ni mtihani tayari mshafeli kwa kutokufuata instructions, mtu kauliza kati ya LG G3 na HTC one (m8). Ushauri wote unge base kwenye hizi chaguo zake not out of it
Infinix note 3 bei gani hii320k lakini ina ram ya 2gb na 16gb, 13mp haina 4g.... kuna infinix note 3 pro ina rom 16gb,ram 3gb,4g na 13mp
Infinix note 3 ni nzuri
inategemeana na mkoa lakn inarange kwenye 320k had 330k na pro yenye 4g na 3gb rama ina 350k had 360kInfinix note 3 bei gani hii
Lete hyo 300 nikupe G4 bado iko poaBajeti yangu ni 300k