Nataka kununua Shamba ikwiriri

Nataka kununua Shamba ikwiriri

khalifa awe

Senior Member
Joined
Sep 21, 2016
Posts
147
Reaction score
31
Wanajamvi habarini. Nataka kununua shamba maeneo ya ikwiriri eka zisizopungua 55 nataka kwa ajili ya kilimo cha ufuta au mihogo nitapata? Na ni bei gani kila eka? Kisha in zao gani mnanishauri kulima zaidi ya ufuta na mihogo maeneo hayo?
 
Wanajamvi habarini. Nataka kununua shamba maeneo ya ikwiriri eka zisizopungua 55 nataka kwa ajili ya kilimo cha ufuta au mihogo nitapata? Na ni bei gani kila eka? Kisha in zao gani mnanishauri kulima zaidi ya ufuta na mihogo maeneo hayo?
Bati mbaya ninazo ekari 4 , zipo Ikwiriri ninaziuza wewe unataka 55. Na rafiki yangu pia anazo 4 anaziuza pia pia.
 
Ahsante kwa taarifa lakini sihitaji chini ya idadi hiyo
Kupata kiasi hicho cha ekari kwa mtu mmoja ni kazi isiyowezekana unachoweza kufanya ni kununu kidogo kidogo kutoka kwa watu wengi walioko eneo moja. (Ushauri tu huo)
 
Watu wa kule bado hela hawajaijua sana miaka 2 iliyopta bro wangu alinunua heka kwa laki4
 
Nitafute cuz tulipataga hela 2014 mm na rafiki zangu 2 tukaenda Ikwiriri kupata ardhi kuiendeleza imetushinda inapita idadi unazozitaka, zimefyekwa zote tayari bei @400,000/=na kunazenye miti yake yaani hazijafyekwa @300,000/=mazao ambayo tuliyalima ni matikiti,ufuta,mbaazi,choroko,mihogo,mikorosho,miembe,pention, nk. 0657257509 kwa maswali zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom