Nataka kununua gari

U must be kidding yan Rav 4 new model umeweka budget ya mil.10......mkuu andaa mil.60 hapo ndio utapata hii gari
 
kumbe unataka ......taka
 
kweli haupo dar, mil. 10 ununue rav4 new model? hata hiyo old model unaweza usipate
 
hiyo ni hela ya hivi vigari vyetu vyenye cc 1500
 
Sawa mkuu nitakutafuta namba yko ninayo.
 
Jana nimetoka kuangalia sbtjapani hiyo gari ushuru wa kuitoa bandarini ni kama dola 6,000/= hapo bado hujainunua yani CIF yake ni kama 6125 ukijumlisha takataka zote unapata kama milioni 30 a usheee....
Hata mimi naipenda hiyo gari ila kwa usawa huu ngoja niendelee kudandia mwendokasi...
 
km unahitaji gari rav4 kwa bei hiyo ni ngumu mkuu labda useme unahitaji gari aina ist, raum, march, opa hizo sawa kw bei hiyo njoo kwenye yard yetu ipo nyerere road uangalie upendayo au niPM kwa maelezo zaidi
 
Kila la kheri Mkuu ila hiyo pesa kama uongeze kidogo aisee
 
km unahitaji gari rav4 kwa bei hiyo ni ngumu mkuu labda useme unahitaji gari aina ist, raum, march, opa hizo sawa kw bei hiyo njoo kwenye yard yetu ipo nyerere road uangalie upendayo au niPM kwa maelezo zaidi
Hivi kuna tofauti gani kubwa ya kuagiza gari nje na kununua kwenye Yard.(Ubora na Gharama)
 
Mil 10 rav4 new model sidhani kama utapata, hiyo hela ist, raum huko....ila kuwa makini na matapeli usije kurudi unalia hapa.
 
Ni ngumu kupata Rav 4 model mpya kwa bei hiyo, hasa kwa bonded warehouse za Dar. Labda ungeanzia 18 kwenda juu.
 
km unahitaji gari rav4 kwa bei hiyo ni ngumu mkuu labda useme unahitaji gari aina ist, raum, march, opa hizo sawa kw bei hiyo njoo kwenye yard yetu ipo nyerere road uangalie upendayo au niPM kwa maelezo zaidi
mkuu mna Harrier old model ya cc 2160?
 
Voxy zina shida gan mkuu make mm nimenunua voxy half ni 4well
 
Km uchumi simzr sana achana na new model jipanga ongeza pesa kanunue Rv4 old model hyo ndogar utazeeka utawaachia wajukuu nao watumie .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…