dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,831
- 20,346
- Thread starter
-
- #201
Nimekusoma kamanda shukraniAmekuwa mtu mzima tu huyo mambo ya kijinga jinga ugomvi ugomvi usio na mpango hana habari nao !wewe tu hujaacha mambobya kipumbavu kupenda ugomvi na makelele kumbuka mwaka wako mmoja ni miaka 10 yake kwa hiyo kama ulikaa nae miaka 4 ujue mwezako ana 40 sasa unataka afanye swaga za kitoto mikelele na ugomvi usio na mpango
👏 nimekuelewa captainNachokushauri ni kitu kimoja tu, usimtelekeze akaishi mitaani. Usimuue ikiwa humtaki, bora uwapatie hao wanaomuhitaji. Kuliko kuingia gharama za kumuua ni bora ufanye hivyo tu itakuwa afadhali.
Shida si humtaki, wape wanaomtaka ikiwezekana muuze kwani utapata faida na pia itakuwa ni manufaa kwako. Nadhani ni namna iliyobora, kuliko kuua kiumbe ambacho hata nusu ya umri wake hajafika.
Unaonekana ni mwanadamu usiye na shukrani, yaani kiumbe amekula sumu akikutetea wewe ndiyo unakimbilia kumuua. Pasipo hata kumwita daktari, amtibie
Tatizo Nilimhasi mda mrefuAisee, Tumia Fursa Mkuu, sio lazima Mbwa awe wa kukulinda na wezi tu, unaweza kwenda kumpandisha kama ni Jike au Kuuza Mbegu kama ni dume, biashara kabisa hiyo... Mbwa bado yupo? au ushampa sumu?
Kwahiyo na wewe ukiishiwa nguvu za kiume mkeo akue siyo?! Acha hizo kila kitu na wakati wake hata wewe utafika wakati utashindwa mechi za ligi kuu utaishia Ndondo Cup. Mara mgongo, mara kiuno, mara ukose hamu, mara tumbo, mara presha, mara tezi dume ... Ujue ndio umekwisha hivyo. Sasa je wife akiona hivyo aombe ushauri wa namna ya kukuua? Utapata tabu sana! Nakwambia ukweli!Jamani!! habari wandugu
baada ya kuona mbwa wangu kipindi hiki amepungua makali sasa nataka nimuondoe, naomba mnisaidie nimuwekee dawa(sumu) gani ili afe je? sumu ya panya inafaa nimeandaa nyama ya ng'ombe ili nimchanganyie kwenye chakula chake na hiyo sumu.
Wale wajuzi Wa mbwa nipeni namna nzuri View attachment 828470
hiyo sio sababu alikua yupo vizuri, tu hata alivyo hasiwa shida imekuja baada ya kupuliziwa dawaMbwa umekiri umemuhasi mwenyewe, siyo mkali sababu hatengenezi testosterone, sasa kawa shoga haau unasingizia juju. Pumbaav kabisa.
Tokea umuhasi nguvu zake za kiume zilikuwa zinapungua kila kukicha sasa hana kabisa. Hiyo ndiyo sababu. Mbwa aliehasiwa anakuwa anaishi ndani ya nyumba na kupakatwa kama pet, usitegemee awe guard dog au alpha male. Hiyo haiwezekani.hiyo sio sababu alikua yupo vizuri, tu hata alivyo hasiwa shida imekuja baada ya kupuliziwa dawa
Nashukuru nimekuelewa!Tokea umuhasi nguvu zake za kiume zilikuwa zinapunguwa kila kukicha sasa hana kabisa. Hiyo ndiyo sababu. Mbwa aliehasiwa anakuwa anaishi ndani ya nyumba na kupakatwa kama pet, usitegemee awe guard dog au alpha male. Hiyo haiwezekani.
Kuna watu watafitiMbona hiyo picha ya kudownload na si halisi?
Hiyo hela sina kamanda, alafu huyu ni mkubwa sijui kama anaweza kuoelewa harakaUkiona kapungua makali, kalipe ada mpeleke wanakofundisha mbwa atarudi akiwa hatari kuliko alivyo sasa
Hahaha!![emoji1] [emoji1]Mlete iringa huku
Hmm!! Jibu lako mbona tata comradeUmeweza kugoogle picha ya mbwa sio mbaya ukagoogle na njia ya kumuua pia