teetotaller
JF-Expert Member
- Dec 16, 2014
- 307
- 203
Muoaji ndie mwenye kujua aoe siku Gani na sio muolewaji, kwakifupi ni hataki kuolewa na wewe jiongeze
kwani kuna makosa gani uliyogundua kuwa yapo nje ya uzi?Sasa kama yeye anataka fasta, we unachelewachelewa nini? Weka ndani kifaa, chelewachelewa utakuta mwana si wako