Nataka kumuoa ila ni mtata sana

Nataka kumuoa ila ni mtata sana

Big Lion

Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
46
Reaction score
15
Habari wana MMU.

Nimekuja kwenu kuomba ushauri kwani najua huku wapo wakongwe wa mahusiano na mambo ya familia.
Mchumba wangu ana tabia moja ya ubishi.

Unaweza muomba game akakujibu mimi sipendi huo mchezo au nikitumia mbinu ya kumshawishi kwa matendo utaona yeye anarespondi negative mfano;akija geto analala na suruali.

Nimejaribu kumdadisi anadai hapendi hayo mambo ndio maana tangu sekondari hadi chuo hajawai kuwa na mwanaume.
Kwa sasa amemaliza chuo anataka kuolewa ila game hataki hata akiolewa ananitaarifu kuwa hapendi huo mchezo.



Ushauri nifanyaje
 
Mpaka sasa bado upo naye? Piga chini huyo anakupotezea muda
 
Katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya KIBURI na UCHOYO haifai hata kidogo ukilinganisha na tabia zingine kama kuchepuka, ulevi, nk. ambazo zinaweza kurekebishika na kuwa katika hali ya ubinadamu unaokubalika katika jamii.

Kwakuwa mtu mwenye kiburi na uchoyo huwa habadiliki vinginevyo uvumilie hiyo hali huku ukiwa ni mshauri wake kila siku au kila mara. Je utaliweza zoezi hilo la ushauri kila mara?
 
Katika mahusiano ya kimapenzi, tabia ya KIBURI na UCHOYO haifai hata kidogo ukilinganisha na tabia zingine kama kuchepuka, ulevi, nk. ambazo zinaweza kurekebishika na kuwa katika hali ya ubinadamu unaokubalika katika jamii. Kwakuwa mtu mwenye kiburi na uchoyo huwa habadiliki vinginevyo uvumilie hiyo hali huku ukiwa ni mshauri wake kila siku au kila mara. Je utaliweza zoezi hilo la ushauri kila mara?

Ni shida kwa kweli. Mtu una mzuka hafu unaanza kujiuliza sijui atakubali leo?
 
Kama unampenda hilo siyo tatizo kivile, ana tatizo la kisaikolojia au ana spriture husband linatibika.Kwenye mahusiano zingatia zaidi choice kuliko option na jifunze kumuandaa mwanamke walau kwa nusu saa kabla hujampanda.
 
huyo bado bikra.ni woga tu wa kukata kamba.hata mke wangu alikua hivo mwanzoni.husiwe na haraka nae anza taratibu kumchezea na finger.ukifikisha vitatu ndo uanze kumpiga na dushe.
 
huyo bado bikra.ni woga tu wa kukata kamba.hata mke wangu alikua hivo mwanzoni.husiwe na haraka nae anza taratibu kumchezea na finger.ukifikisha vitatu ndo uanze kumpiga na dushe.

Finger kama waporipori.... kha!
 
Dah! Hajakutana na mafundi wa vitandani. Hiyo suruali yake atavua mwenyewe. Usimuombe kuwa leo nataka papuchi. Mchezee kuanzia nje taratibu tafuta ni eneo gani ananyegeka. Huyo bado hajajua utamu wa dudu labda li-X lake lilikua rough. Nshakutana na binti kama huyo mwanzo alikuwa hataki na anasema live kuwa hapendi ila aliposomeshwa practical sasa hataki kukata siku bila dudu.
 
huyo bado bikra.ni woga tu wa kukata kamba.hata mke wangu alikua hivo mwanzoni.husiwe na haraka nae anza taratibu kumchezea na finger.ukifikisha vitatu ndo uanze kumpiga na dushe.

Nakubaliana nawe
 
Duh! una uvumilivu wa hali ya juu sana brother, heshima kwa hilo. Ila sasa ukizidisha kidogo hata nukta, hapo utakuwa ni ujinga
 
anameremetaaaaa
 

Attachments

  • 1427023693479.jpg
    1427023693479.jpg
    59.4 KB · Views: 390
huyo bado bikra.ni woga tu wa kukata kamba.hata mke wangu alikua hivo mwanzoni.husiwe na haraka nae anza taratibu kumchezea na finger.ukifikisha vitatu ndo uanze kumpiga na dushe.

Unafahamu bikra kijana au unataka kuchekesha hata walionuna?
 
asije kuwa ananuka papuchi🙁😀😀😀😀😀😀
 
Mkuu kuna wengine wana hormonal imbalance.
Hawana hata stimulation, jaribu kumcheki kama yuko OK.

Kama unapenda game atakubore sn, mdadasi kwanza.
 
sa unamuoa ili mkapke na kuosha vyombo au????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom