Wakuu ni njia gan ya kumuacha mschana pasipo yy kujua? Maana nmejarbu kumpotezea taratibu akashtukia,kaniuliza maswali kibao nmejbu yaliowezekana, wakuu npeni mbinu mnawezaje?
Nimkubwa kwangu, i mean jimama
Matatizo2 ya ela ndugu yangu, alinikuta na hal mbaya sn ya famuilia na ckua na option