bab-D
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 1,333
- 402
- Thread starter
- #61
hebu kwanza funguka, kazini anataka uende nae akafanye nini? isije ikawa ana sababu ya msingi kabisa, maana hapa hujafunguka vizuri.
Yaani hataki nimuache, kama kumbikumbi hadi kazini, mtu unaenda kwenye mikutano, vikao na nimbali toka tunako ishi as km15-20