Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

bab-D

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2015
Posts
1,333
Reaction score
402
Nimeishi naye tangu 2006, kabla sijamuoa nilifanikiwa kujenga kinyumba changu huko kijijini. nikamuoa na nikapata kazi kagera sugar. lakini kila siku vitimbwi, anachelewesha chai, mara twende wote kazini, mwisho 2010 nikafukuzwa kazi.

2012 nikabahatisha Selikalini mpaka leo vitimbwi ni vilevile na mimi ni Field officer mara alazimishe twende wote mara hela ya mafuta afiche nisiende mpaka nimepewa barua ya onyo nifanyeje?

Huyu si nimuache tu kwa sababu nimepanga huku kazini yaani naandaa mazingira sikumoja atakuta sipo na sichukui chochote ndani vyote namuachia naenda kuanza upya tu.
 
Mwanamke mwenye akili timam hawezi kutaka muende wote kazini au kuzuia husiende kazini bure, nazani tabia ktk ndoa yako huenda si za kiungwana
Kaa Na mkeo mrekebishe mapungufu yenu
 
bab-D

kaa nae chini umueleweshe kwa upole kabisa maisha yanvyokwenda. hana kosa kubwa la kufikia kuvunja family. angekuwa wa hovyo angekubwaga wakati huna kazi. inaonekana anakupenda sana.
 
Last edited by a moderator:
bab-D

Nadhani kuna kubwa zaidi ya haya uliyotuambia hadi mke wako akawa na hizo tabia. jichunguze halafu kaa na mkeo mzungumze katika njia tofauti tofauti
1. kirafiki
2. kindugu
3. kifamilia
 
Last edited by a moderator:
Ana umri gani?? kuna mwanaume mkubwa huko kijijini nilikuta kaoa kuja kutonywa binti wa miaka 15, some time tunawaonea tu,
 
Sijui ni nini kinakufanya ushindwe kuchukua maamuzi magumu
 
Anasumbuliwa na wivu wa kitoto huyo. Kabla hujamuacha muonjeshe kwanza radha ya makofi akirudia achana naye hakufai
 
Ulipoenda kuoa sitimbi ulidhani raisi, wasumbufu sana wanawake wa kijijini alafu akiwa mama wa nyumbani ndio kabisaaa. MPIGE chini njoo uoe mjini.
 
bab-D

Mimi hapo sioni vitimbi naona utoto tu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kama utamwachia nyumba na mali zote ni pm number zake nikafaidi matunda!
 
nadhani kuna kubwa zaidi ya haya uliyotuambia hadi mke wako akawa na hizo tabia. jichunguze halafu kaa na mkeo mzungumze katika njia tofauti tofauti
1. kirafiki
2. kindugu
3. kifamilia

Nimehama vituo vya kazi vitatu, bado ikaendelea pia nikahama wilaya nako bado tu ni yaleyale dah! nimechoka, nadhani maamuzi magumu ndo suluhisho pekee
 
Mkuu kama utamwachia nyumba na mali zote ni pm number zake nikafaidi matunda!

Yaani nimtafutie buz? acha asote kwanza na uwe mtaji wake wa kulea watoto.
 
Back
Top Bottom