Nataka kujuzwa kuhusu ukunga na uuguzi

Nataka kujuzwa kuhusu ukunga na uuguzi

Huko huwezi kufa njaa mkuu ,kasome tu maana ndio kozi inayopewa kipaombele na serikali kwenye ajira ondoa shaka
 
Wana JF naomba kujuzwa ukweli wa hili swala Ivi ni kweli Degree ya ukunga na uuguzi soko lake la ajira ni finyuuu?
Ajira zao serikalini chache na ht Ngo's nafasi chache, wenye dili ni wale wanaojiendeleza wakiwa kazini
 
ukitaka kula maisha kwenye hiyo fani uwe na certification kama Anesthesia
 
Back
Top Bottom