Pole kwanza kwa kuwaza kujifunza kitu kipya au kubadili fan.Sasa sijui nikushauri vipi kama unataka kuvijua kwa undani zaidi uko tayari kurudi chuo say miaka mitatu?Pesa ipo,kama ulisomeshwa na loan bord first degree huwezi pata mkopo tena.Wadau nifahamisheni!
Ningependa kuwa mtengenezaji au muendelezaji (developer) wa software!
Je, natakiwa nisome kozi gani na chuo gani hapa bongo kiko vizuri?
Elimu yangu B.Sc. Ed.
Ahsanteni!