Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,717
- 6,051
Now it makes sense,ana hasira nayo hawa.
Hahaaa JF raha sanaha ha haaa hapo kabla ya vile viraka vya bendera ya taifa
ila jamaa ukomedi kaanza kitambo sana, cheki pozi lake alivyokaa mahakaman
Sawa mkuu ila anatakiwa ajue cheo ni dhamana apunguze ulimbukeniHapo alikuwa kwenye kazi maalum mkuu!!
Mkuu na huyo wa kwnye avatar yako alikuwa anamwambiaje mrembo??
Kabisa !Huy
Ndio maana nchi zenye katiba nzuri Rais akiteua Waziri lazima bunge iidhinishe.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu.Mna ulinzi wa kutosha?