Tunalipia buku 5,nauli ulevi na gharama kibao kwenda kuangalia vibration 'Kanga moko' sasa jamaa ana Kanga moko nyumbani eti ajivue gamba MWEEH! ukivua tu watu wanavaa same day ndio utaijua Bongo darisalama.Hiyo vibration ni bidhaa adimu kamanda,
Tunalipia buku 5,nauli ulevi na gharama kibao kwenda kuangalia vibration 'Kanga moko' sasa jamaa ana Kanga moko nyumbani eti ajivue gamba MWEEH! ukivua tu watu wanavaa same day ndio utaijua Bongo darisalama.Hiyo vibration ni bidhaa adimu kamanda,
kwema ndugu yangu naangalia mambo yalivyopooza isipokuwa hapa.
hehehe u mume b w e g e ni fashen siku hizi hapa mjini kamanda, muhimu ni vibrations tukwa mtindo nitageuzwa house boy na sio mme kamanda
Karib aisee
Yep, tupo na excellent hapa tunampa company maana anasema kasimama barabarani magari yanampigia mahoni.
mkuu vibration inasisimua tu ila kuna fleva?mbona mi naona tu poaTunalipia buku 5,nauli ulevi na gharama kibao kwenda kuangalia vibration 'Kanga moko' sasa jamaa ana Kanga moko nyumbani eti ajivue gamba MWEEH! ukivua tu watu wanavaa same day ndio utaijua Bongo darisalama.
Tunalipia buku 5,nauli ulevi na gharama kibao kwenda kuangalia vibration 'Kanga moko' sasa jamaa ana Kanga moko nyumbani eti ajivue gamba MWEEH! ukivua tu watu wanavaa same day ndio utaijua Bongo darisalama.
teh teh teh mkuu na lazima ujiulize hiyo vibration inasababishwa na nini?nani anampa kichwa!au ana namba ya klorokwini au uprotohehehe u mume b w e g e ni fashen siku hizi hapa mjini kamanda, muhimu ni vibrations tu
For u, I wont ask for much details, am just happy at least to see u around and catch your quote.Thanks but no thank you mpendwa, conflict of interest.
Si unaona poa kwakuwa iko ndani ? we iachie aipate mwingine ndio utajua tunaongelea nini.mkuu vibration inasisimua tu ila kuna fleva?mbona mi naona tu poa
For u, I wont ask for much details, am just happy at least to see u around and catch your quote.
be blessed mpendwa
teh teh teh mkuu na lazima ujiulize hiyo vibration inasababishwa na nini?nani anampa kichwa!au ana namba ya klorokwini au uproto
hayo ndo mambo ya msingi kujiuliza
What is a catalyst? (source: mwalim wa kemistry ambae alishiriki kunipatia F ya kemistri form 4)kwani bila vibration mzuka haupandi?
Muda wangu wa kulala umefika,acha wivu mkuu anakutingishia sebuleni mkiwa wawili hapo hayupo kloro wala Uporoto na umesema mkifika room mtoto kiuno feni(mko wawili tu) TAFAKARI UTULIE.teh teh teh mkuu na lazima ujiulize hiyo vibration inasababishwa na nini?nani anampa kichwa!au ana namba ya klorokwini au uproto
hayo ndo mambo ya msingi kujiuliza
Muda wangu wa kulala umefika,acha wivu mkuu anakutingishia sebuleni mkiwa wawili hapo hayupo kloro wala Uporoto na umesema mkifika room mtoto kiuno feni(mko wawili tu) TAFAKARI UTULIE.
upototo usiku mwema mkuu,ngoja mi nianze vitendoMuda wangu wa kulala umefika,acha wivu mkuu anakutingishia sebuleni mkiwa wawili hapo hayupo kloro wala Uporoto na umesema mkifika room mtoto kiuno feni(mko wawili tu) TAFAKARI UTULIE.
Tatizo vibration zao zimeenda collage halafu wapo wengi,......dah usiku mwema pia wakuuMi mwenyewe nalog out kamanda halaf jamaa kanipandisha mzuka basi haka ka ukuta kangu hapa room nimekafananisha na mdada halaf nakaona kama kanatingisha tingisha hivi. Khaaaa!
gudi nite wakuu
Nalewa hata katikati ya wiki....huyu mke wangu ananikondesha,ana mdomo nye acheni tu.
hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia,
ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo ya msingi anaongea kitaarabu huku ameshika pua halafu anaondoka kwa kiburi huku akitembea kwa maringo na kuvibrate makalio makusudi,nikimpeleka kwenye vikao ya wazee akianza kuongea mpaka kikao inaharibika na kubakia mwenyewe kama mwenyekiti huku wengine kimya.
Kumchapa makofi naona huruma!
kumwacha napata wakati mgumu maana anajua kukata mauno kitandani mambo yake si kitoto ila siishi kwa amani.
amekubali nimwoe wa pili ?je nikimwoa wa pili akafundishwa taarabu si ndo wataunda bendi.
msaada bhandugu hapa kichwa kimeganda nimekaa katikati ya barabara magari yanipigia honi!