Nataka kujivua gamba ila.......................

no no washikaji tunadeal na muhuni uyu Mr excelent, atakuwa muhuni uyu pia bandidu, naamini uko bar pia katika Mataarab keshapata jimama / jidemu / Jibibi vijana wanapenda kulelewa hawa sikuizi, anatuzuga tu apa pia anatafuta justification za kumuacha mkewe au kuingiza mke wa pili ilo jimama / jidemu / Jibibi, lakini Mr excellent nakuakikishia utanawa kabla ya kushiba, maana jiandae kudundwa vya kutosha hii mimama ya bar pia ktk taarab mivuta bangi mikubwa lazima litakudunda
 
no no washikaji tunadeal na muhuni uyu Mr excelent, atakuwa muhuni uyu pia bandidu, naamini uko bar pia katika Mataarab keshapata jimama / jidemu / Jibibi vijana wanapenda kulelewa hawa sikuizi, anatuzuga tu apa pia anatafuta justification za kumuacha mkewe au kuingiza mke wa pili ilo jimama / jidemu / Jibibi, lakini Mr excellent nakuakikishia utanawa kabla ya kushiba, maana jiandae kudundwa vya kutosha hii mimama ya bar pia ktk taarab mivuta bangi mikubwa lazima litakudunda
mke wangu ndo ananifanya nilewe,mi niende baada bila matatizo?
 
ngumu kumeza bhana.,nikimkumbuka mpaka naanza kujikabakaba shingo mwenyewe kwa hasira,lol
Askwambie mtu kamanda, kuna ma mama hayaachiki, unalikuta jimama kwenye yale mambo yetu linapepeta kuliko bendera ya bongo wakati wa kimbunga. Halaf Unaweza ukaliacha ukakumbana na kimwanamke ugwadu kila ukikikoleza kimekutolea mimacho tu kama kimehukumiwa hukumu ya kifo.

Kama mchezo unanoga , komaa nae tu kamanda.
 
Kwani wewe kitandani hauko vizuri? Mpe outing ya Q Bar. Atakachokiona huko atajirudi mwenyewe!

Nalewa hata katikati ya wiki....huyu mke wangu ananikondesha,ana mdomo nye acheni tu.
hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia,
ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo ya msingi anaongea kitaarabu huku ameshika pua halafu anaondoka kwa kiburi huku akitembea kwa maringo na kuvibrate makalio makusudi,nikimpeleka kwenye vikao ya wazee akianza kuongea mpaka kikao inaharibika na kubakia mwenyewe kama mwenyekiti huku wengine kimya.
Kumchapa makofi naona huruma!
kumwacha napata wakati mgumu maana anajua kukata mauno kitandani mambo yake si kitoto ila siishi kwa amani.
amekubali nimwoe wa pili ?je nikimwoa wa pili akafundishwa taarabu si ndo wataunda bendi.

msaada bhandugu hapa kichwa kimeganda nimekaa katikati ya barabara magari yanipigia honi!
 
Sikiliza ule wimbo wa 'Naogopa kurudi nyumbani mke wangu ni vu vu vuvuzeeelaa'. pole sana mkuu lakini kama walivyosema wengine kama yuko fiti idara nyeti na unatingishiwa mgongo sebuleni usibanduke hapo komaa naye bana.
 
Sikiliza ule wimbo wa 'Naogopa kurudi nyumbani mke wangu ni vu vu vuvuzeeelaa'. pole sana mkuu lakini kama walivyosema wengine kama yuko fiti idara nyeti na unatingishiwa mgongo sebuleni usibanduke hapo komaa naye bana.
teh teh teh aliyeimba mwenyewe hajapata solution
 

...lol....e bana eeee?

images
....kuna mtaalamu hapo nakushauri ukaonane nae...khaa?

dah! Mkuu umenichekesha sana. Yale mambo yetu ya mgonjwa ndani mtaalamu anakaa karibu na mlango.
 
Askwambie mtu kamanda, kuna ma mama hayaachiki, unalikuta jimama kwenye yale mambo yetu linapepeta kuliko bendera ya bongo wakati wa kimbunga. Halaf Unaweza ukaliacha ukakumbana na kimwanamke ugwadu kila ukikikoleza kimekutolea mimacho tu kama kimehukumiwa hukumu ya kifo.

Kama mchezo unanoga , komaa nae tu kamanda.
unakuta anakufikisha kunako halafu bado anakulisha na matumizi juu dah...huwezi kurevange kauli yake.
 
Akiimba taarab Wewe muimbie hiphop.Akiongelea puani wewe ongelea kooni(sauti ya nne). Akikutingishia masaburi mtingishie rungu kwenye masaburi yake. Kila tabia ya kike anayofanya wewe ijibu kwa kufanya ya kiume zaidi..mwenyewe atakuwa anakupigia simu urudi nyumbani haraka usome gazeti

we utakuwa wa kanda maalumu tu!
 
Back
Top Bottom