mmwaaaaaaaaaaaaaaaaaah! unaakili ni nomaHeee! Piga chini uende kwa kabakabana.
mkuu hapa ni sawa natembea peku peku kwenye kaa la motoHayo ndo matokeo ya kupenda kabla ya kuchunguza tabia. Mkiambiwa kuchunguza tabia kwanza mnasema hayo tutaona huko mbele kwa mbele.
Sikinde waliimba, 'mwanetu kaza moyo uishi na mkeo, ni wewe mwenyewe uliyempenda.'
Sasa huyu anayezungumziwa si ndiye Kabakabana mwenyewe au? Nalog off
mmwaaaaaaaaaaaaaaaaaah! unaakili ni noma
halafu bado aendelee kama mke?
Umeanza kumwaga yale mapwenti yako lol, tuka update nini? lolhahahahahahahaha! Aliyesema kloro mzima anahitaji vidonge vya asprin.
Wanasemaga ,we bonge la mvumilivu,mi kwa upande wangu palestina na israel inaweza kutokea chumbani
Umeanza kumwaga yale mapwenti yako lol, tuka update nini? lol
hehehe na hii ndio itakuwa paswedi yangu kwako siku hizi
lol dah! nimecheka kwa laudi speaker aisee. out of my control I feeel like saying I ............. ,kloro mi staki ujue? Mbona hivyo lakini. Ukiharibu ujue una kazi nzito ya kusawazisha. Lol.
Akiimba taarab Wewe muimbie hiphop.Akiongelea puani wewe ongelea kooni(sauti ya nne). Akikutingishia masaburi mtingishie rungu kwenye masaburi yake. Kila tabia ya kike anayofanya wewe ijibu kwa kufanya ya kiume zaidi..mwenyewe atakuwa anakupigia simu urudi nyumbani haraka usome gazeti
lol dah! nimecheka kwa laudi speaker aisee. out of my control I feeel like saying I ............. ,
teh teh teh teh hiyo kali,najua kwa mtindo huo hata nikimwacha nikaenda kazini lazima atanimissAkiimba taarab Wewe muimbie hiphop.Akiongelea puani wewe ongelea kooni(sauti ya nne). Akikutingishia masaburi mtingishie rungu kwenye masaburi yake. Kila tabia ya kike anayofanya wewe ijibu kwa kufanya ya kiume zaidi..mwenyewe atakuwa anakupigia simu urudi nyumbani haraka usome gazeti