Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,177
- 104,785
Kwa akili hizi, hufai kuwa chadema.Kutoka moyoni kabisa nataka kujiunga na CHADEMA process zake zikoje? Natamani kuungana na makamanda katika harakati za kuiondoa CCM.
Nisaidieni makamanda na pia mniunge kwenye group la makamanda.
Yn hujui process za kujiunga chadema?