Njugu mawe
Member
- Sep 8, 2023
- 33
- 33
Ghorofa mayai inakuaje?Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili
Mkuu milion tano mbona ndogo sana mkuuWakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Unaweza kujenga ghorofa ya keki.Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Achana na gorofa, hata nyumba ya chini ya vyumba viwili kwa Milioni 5 yako huwezi kuhamia.Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
NyambafuWakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenyw nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Unaweza kujenga na kuhamia kabisa mkuu, kinachotakiwa hapa ni bajeti ya kujenga ghorofa lenye thaman ya 5ml.Wakuu, mimi ndoto yangu nije niishi kwenye nyumba ya ghorofa hata ikiwa ghorofa mayai, ni sawa tu,
Sasa nauliza kwa wataalumu hapa wa Jamii forum, nikiwa na Million 5 siwezi kujenga ghrofa?
Sio lazima niimalize ukarabati, lakini niwe na uwezo wa kuifikisha hatua ya kuhamia hata vyumba viwili?
Naombeni wataalamu mnieleze hili🤔
Mmh sidhaniKwa milioni Tano,unajenga nyumba yenye vyumba 3 aina ya (L) na kuingia mkuu