Nataka kuhamia Kanisa Katoliki

Nataka kuhamia Kanisa Katoliki

Kwa sasa mimi ni muumini wa Kanisa la Anglican lakini hivi karibuni nimetokea kuvutiwa na Kanisa Katoliki, na nimeona ndio Kanisa linaloendana na misingi yangu. Nadhani sijachelewa maana bado ni kijana. I'm still in my 20s

Kwa hiyo huu mwaka nitajitahidi nihamie Kanisa Katoliki. Jumapili hii inayokuja naanza kwenda kusali Kanisa Katoliki

Uzuri O Level nilisoma shuke ya Kikatoliki kwa hiyo taratibu zao nyingi nazijua
.
.......
Karibu mwanangu, hujachelewa
 
Back
Top Bottom