Nataka kuhama Chama. Ushauri tafadhali

Nataka kuhama Chama. Ushauri tafadhali

mculture3

Senior Member
Joined
Feb 24, 2017
Posts
126
Reaction score
166
Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa.
Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani?
Msaada pls. Usingizi sipati.
 
Huna mvuto mkuu, ungekuwa na mvuto ungeshawaona mawakala wetu mlangoni kwako ili muelewane bei!! Kwa sasa kaa huko huko uliko
 
kwani ulivyo jiunga ulimuomba nani ushauri?

mkuu mbona unataka tupewe banne zisizo kuwa na mbele wala nyuma

embu lala bhana
 
Karibu sana kwenye chama cha ukombozi (CHAUMA) huku hatuuzi wala kununua wanachama.
 
"Umekosa Mungu nyumbani kwenu huwezi kuwa na dini ugenini" vipo vingi Cuf,Tlp,Chausta,Nccr-mageuzi,

~jhomwe tukubhakana,imi lundu mu nsebho,seeeeeeeeee
 
Uchwara ana bilioni 8 sawa na ile bei ya boti yake uchwara aliyopiga dili refu. Mwambie weye Chadema na uko tayari kuhama kama atapanda dau nono.

Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa.
Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani?
Msaada pls. Usingizi sipati.
 
Back
Top Bottom