mculture3 Senior Member Joined Feb 24, 2017 Posts 126 Reaction score 166 Dec 7, 2017 #1 Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa. Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani? Msaada pls. Usingizi sipati.
Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa. Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani? Msaada pls. Usingizi sipati.
Mdomo bakuli JF-Expert Member Joined Jan 7, 2017 Posts 3,442 Reaction score 7,020 Dec 7, 2017 #2 Huna mvuto mkuu, ungekuwa na mvuto ungeshawaona mawakala wetu mlangoni kwako ili muelewane bei!! Kwa sasa kaa huko huko uliko
Huna mvuto mkuu, ungekuwa na mvuto ungeshawaona mawakala wetu mlangoni kwako ili muelewane bei!! Kwa sasa kaa huko huko uliko
stickvibration JF-Expert Member Joined Feb 7, 2017 Posts 3,226 Reaction score 5,150 Dec 7, 2017 #3 Umekuwa mwana wa nani miaka 9 Tuanzie hapo kwanza
themanhimself176 JF-Expert Member Joined Dec 28, 2016 Posts 1,836 Reaction score 2,924 Dec 7, 2017 #4 kwani ulivyo jiunga ulimuomba nani ushauri? mkuu mbona unataka tupewe banne zisizo kuwa na mbele wala nyuma embu lala bhana
kwani ulivyo jiunga ulimuomba nani ushauri? mkuu mbona unataka tupewe banne zisizo kuwa na mbele wala nyuma embu lala bhana
J Josaje Mtui JF-Expert Member Joined Oct 1, 2016 Posts 2,469 Reaction score 2,207 Dec 7, 2017 #5 Mkuu kwani wewe ni liability au asset.hebu tuanzie hapo
Thad JF-Expert Member Joined Mar 14, 2017 Posts 13,402 Reaction score 31,658 Dec 7, 2017 #6 Karibu sana kwenye chama cha ukombozi (CHAUMA) huku hatuuzi wala kununua wanachama.
Anakuja Yesu JF-Expert Member Joined Mar 3, 2017 Posts 563 Reaction score 485 Dec 7, 2017 #7 "Umekosa Mungu nyumbani kwenu huwezi kuwa na dini ugenini" vipo vingi Cuf,Tlp,Chausta,Nccr-mageuzi, ~jhomwe tukubhakana,imi lundu mu nsebho,seeeeeeeeee
"Umekosa Mungu nyumbani kwenu huwezi kuwa na dini ugenini" vipo vingi Cuf,Tlp,Chausta,Nccr-mageuzi, ~jhomwe tukubhakana,imi lundu mu nsebho,seeeeeeeeee
BAK JF-Expert Member Joined Feb 11, 2007 Posts 124,769 Reaction score 288,331 Dec 7, 2017 #8 Uchwara ana bilioni 8 sawa na ile bei ya boti yake uchwara aliyopiga dili refu. Mwambie weye Chadema na uko tayari kuhama kama atapanda dau nono. mculture3 said: Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa. Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani? Msaada pls. Usingizi sipati. Click to expand...
Uchwara ana bilioni 8 sawa na ile bei ya boti yake uchwara aliyopiga dili refu. Mwambie weye Chadema na uko tayari kuhama kama atapanda dau nono. mculture3 said: Nimekuwa mwana takriban miaka Tisa. Lakini Kwa sasa naona kinachoendelea, sio. Je, nijiunge Na chama gani? Msaada pls. Usingizi sipati. Click to expand...
MWALLA JF-Expert Member Joined Dec 12, 2006 Posts 16,952 Reaction score 10,512 Dec 7, 2017 #9 stickvibration said: Umekuwa mwana wa nani miaka 9 Tuanzie hapo kwanza Click to expand... Kalelewa miaka9 patakuwa na kitu hapoo?!![emoji108] Marinda yote kwishneh[emoji90]
stickvibration said: Umekuwa mwana wa nani miaka 9 Tuanzie hapo kwanza Click to expand... Kalelewa miaka9 patakuwa na kitu hapoo?!![emoji108] Marinda yote kwishneh[emoji90]