Nataka kuhama Bongo

Nataka kuhama Bongo

Alvin Slain

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
6,375
Reaction score
3,665
Habari za Leo.

Nakuja hapa kwa heshima kubwa iliyo ndani ya Jukwaa hili.
Nataka kuhama Bongo/Tanzania Muda wowote ila sijaafiki Nchi nitakayoenda nitakapoondoka.

Hivyo naomba bila hiyana mniongoze katika hili

Je Ni Nchi gani Barani Africa hata Ulaya ,Amerika na Mashariki ya Kati naweza.kuwa Mhamiaji Bila Usumbufu?

Ushauri wako ni Muhimu Zaidi.
 
utapata viza kwanza kirahisi?Na ya wapi,jibu hayo ndio tukupe ushauri
 
Nimesema Duniani Mkuu ahera nenda wewe

Chagua kati ya nchi hizi mi nakutafutia visa ya kudumu....Iraq, Syria, Somaly, Sudan (south &west), Palestina au Libya... Hizi nilizotaja zina utajiri mkubwa wa mafuta, unaishi km upo paradise
 
Chagua kati ya nchi hizi mi nakutafutia visa ya kudumu....Iraq, Syria, Somaly, Sudan (south &west), Palestina au Libya... Hizi nilizotaja zina utajiri mkubwa wa mafuta, unaishi km upo paradise



Kumbuka siendi huko kutafuta Chochote kile nataka sehemu zenye Usalama kwa Ujumla.
 
Kumbuka siendi huko kutafuta Chochote kile nataka sehemu zenye Usalama kwa Ujumla.

Huendi kutafuta chochote, whether biashara au kazi? Now I can see u're not serious mkuu! Umejiwezesha kiasi gani ww? Una hela mpaka unaona Bongo inanuka unataka kuikimbia? Mh Ama kweli duniani Kuna mambo
 
mkuu kwanini unataka kuhama nchi? Ok wa ushaur wangu nenda moja ya scandinavian countries,i.e denmark,sweden au norway,nasikia huko maji ya kunywa unapata kwenye mabomba hata kitaa yakiwa mazur kwa afya
 
Yaani ukishindwa kuishi bongo hakuna nchi utaweza ishi. Bongo ni kila kitu ujanja wako tu.... nchi gani itakuvumilia wewe uwe unachati tuuu masaa yote tangu 2011 unachati tuuu umeifanyia nini nchi hii? fikiri upya.
 
Inategemea Unahama Ukafanye Shughuli Gani? Kama Michezo Ya Get Reach Or Die, Nenda Kwa Madiba. Kama Unataka Kuwa Marioo Nenda Namibia. Kama Unataka Mende Nenda Dubai. Kifupi Nikushauri Maisha Siyo Kitu Rahisi Kama Unavopanga Wewe. Tulia Bongo Upigwe Jua Kali Akili Itatulia Utatusua Kiume Mkuu.
 
Huna jipya. Tukikujibu utakuja kutuuliza hata kwenda chooni
 
kama una pesa na sio kidogo iweke kwenye biashara hapo ulipo uendelee na maisha,next question?

Nimewekeza vya kutosha ila nataja nibadilishe Mazongira huku Shughuli zikiendekea
 
Badilisha mkoa mpaka upate mkoa utakao kuiva utaiona nchi hii nzuri tu
 
Huendi kutafuta chochote, whether biashara au kazi? Now I can see u're not serious mkuu! Umejiwezesha kiasi gani ww? Una hela mpaka unaona Bongo inanuka unataka kuikimbia? Mh Ama kweli duniani Kuna mambo



Yaani unashangaa mtzania wa kawaida kuhama nchi ?Kweli bado tz iko nyuma
 
Back
Top Bottom