tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,414
- 1,216
Mh kwa nini
c ili uweze Kula wote watatu
Mh kwa nini
Hapa ofsin kuna mabinti watatu ambao kidogo wananivutia sasa katika chagua chagua nimekuta nshawaseti wote ila sasa kumalizia ndo napata wasiwasi maana wanakaa ofisi moja na nahisi nikila mmoja watasimuliana halafu nitakosa wengine.Wakuu hebu nipeni mkakati nimalize wote kmya kimya.nawataka wote.
"Upumbavu nao ni kipaji".
Jk nyerere.
Kwani ukiwaomba wao ushauri wanasemaje?
Hapa ofsin kuna mabinti watatu ambao kidogo wananivutia sasa katika chagua chagua nimekuta nshawaseti wote ila sasa kumalizia ndo napata wasiwasi maana wanakaa ofisi moja na nahisi nikila mmoja watasimuliana halafu nitakosa wengine.Wakuu hebu nipeni mkakati nimalize wote kmya kimya.nawataka wote.
alafu ukiwagegeda wote utaonekana kidume hapo ofisini.
unajitakia matatizo wewe,,, jaribu uone kilichomtoa kanga manyoya shingoni..hapa ofsin kuna mabinti watatu ambao kidogo wananivutia sasa katika chagua chagua nimekuta nshawaseti wote ila sasa kumalizia ndo napata wasiwasi maana wanakaa ofisi moja na nahisi nikila mmoja watasimuliana halafu nitakosa wengine.wakuu hebu nipeni mkakati nimalize wote kmya kimya.nawataka wote.