Habari wakuu
Nimefungua goli fulani, frame ina ukubwa wa 3.5m kwa 4m (ukubwa wa fremu za maduka zilizopo mtaani). Sasa nakata kuweka CCTV Camera kwa ajili ya kufuatilia kinachondelea maana nimeweka vijana sasa hata kama watakuwa wananipiga ila angalau kukiwa na hiyo kitu wataogopa kiasi.
Nataka mfumo ambao hautakuwa wa gharama kubwa sana ambao utatosha kurekodi kinachondelea kwenye hiyo fremu.
Naomba ushauri wenu mfumo upi wa gharama ndogo wenye ufanisi utanisaidia? Sihitaji makamera mengii.
Bajeti yangu haizidi 200,000
Asante
Nimefungua goli fulani, frame ina ukubwa wa 3.5m kwa 4m (ukubwa wa fremu za maduka zilizopo mtaani). Sasa nakata kuweka CCTV Camera kwa ajili ya kufuatilia kinachondelea maana nimeweka vijana sasa hata kama watakuwa wananipiga ila angalau kukiwa na hiyo kitu wataogopa kiasi.
Nataka mfumo ambao hautakuwa wa gharama kubwa sana ambao utatosha kurekodi kinachondelea kwenye hiyo fremu.
Naomba ushauri wenu mfumo upi wa gharama ndogo wenye ufanisi utanisaidia? Sihitaji makamera mengii.
Bajeti yangu haizidi 200,000
Asante