Nataka kufanya biashara

Nataka kufanya biashara

Yaasin2025

Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
65
Reaction score
9
habari mimi ni msichana na ninataka kufanya biashara ya ngu.lakini hizi za mitumba na pia nataka niuze za kike na za kiume tatizo sijui ni waoi ambapo naweza kupata nguo naombeni msaada wenu, asanteni snaa
 
Kabla haujaomba kuelekezwa wapi utaipata hii mitumba ni vyema ungesema unapatina wapi?
 
Km uko Dar, Ilala asubuh sana nenda pale wakati wanafungua mabalo utapata kwa cheap price then utatengeneza profit.
 
Back
Top Bottom