Nataka kuappeal mkopo

Nataka kuappeal mkopo

Msiba wa Taifa

Senior Member
Joined
Nov 3, 2016
Posts
128
Reaction score
53
Jamani mimi nimerud tena kuuliza swali mnisaidie tafadhari...
Nimejaribu kujaza form ya mkopo lakini kuna kipengele cha kuonesha kama ni yatima au wazazi wako hawana uwezo au una mzazi mmoja.
Sasa mimi nina mzazi mmoja ambaye ni mama tu...
Swali langu ni kwamba naweza jaza option ya kuwa yatima.
Kw maana nina mzazi.mmoja mama tu .


NAOMBENI USTAARABU KASHFA USIINGIZE TAFADHARI NAOMBENI MAJIBU MAZURI YA KISTAARABU.
 
Yatima inaweza kuwa kukosa mzazi mmoja au wote wawili (sijui bodi wanachukuliaje). Cha muhimu ni kuwa na ushahidi au wa kifo kama kuna death certificate au barua ya serikali ya mtaa kuonyesha una mzazi mmoja.
 
Yatima ni MTU yeyote ambaye hajafikisha umri Wa miaka kumi na nane ambaye wazazi wake wote wawili wamefariki.
 
Jamani mimi nimerud tena kuuliza swali mnisaidie tafadhari...
Nimejaribu kujaza form ya mkopo lakini kuna kipengele cha kuonesha kama ni yatima au wazazi wako hawana uwezo au una mzazi mmoja.
Sasa mimi nina mzazi mmoja ambaye ni mama tu...
Swali langu ni kwamba naweza jaza option ya kuwa yatima.
Kw maana nina mzazi.mmoja mama tu .


NAOMBENI USTAARABU KASHFA USIINGIZE TAFADHARI NAOMBENI MAJIBU MAZURI YA KISTAARABU.
Ukijaza Orphan watakuhitaji uambatanishe death certificates za wazaz wote wawili ila ukijaza single parent utaambatanisha chet kimoja cha mzaz aliyefarik so ni bora uweke single parent kama una chet cha kifo cha mzee.
Nawasilisha.
 
Yatima inaweza kuwa kukosa mzazi mmoja au wote wawili (sijui bodi wanachukuliaje). Cha muhimu ni kuwa na ushahidi au wa kifo kama kuna death certificate au barua ya serikali ya mtaa kuonyesha una mzazi mmoja.
yatima kwa bodi aliefiwa na wazazi wawili
 
Back
Top Bottom