Nataka Kuanzisha Bendi ya Muziki

Teh Teh Teh Teh! Aaaaahhhhh! Hehehehe, mnanichekesha sana. Mbinguni choir vs dhambidhambi Band. Nani zaidi hapo? Wenye macho hawaambiwi tazama. Mkiulizwa nani anataka kwenda mbinguni mwasema "Mimiiii, Mimiii" hakuna asemaye anataka kwenda motoni. Sijui inakuwaje watu wanafika motoni na hawapataki?????
 
Teh Teh Teh Teh! Aaaaahhhhh! Hehehehe, mnanichekesha sana. Mbinguni choir vs dhambidhambi Band. Nani zaidi hapo? Wenye macho hawaambiwi tazama. Mkiulizwa nani anataka kwenda mbinguni mwasema "Mimiiii, Mimiii" hakuna asemaye anataka kwenda motoni. Sijui inakuwaje watu wanafika motoni na hawapataki?????

Wewe una ushahidi wa mtu ambaye kafika motoni? au ndio nadharia za mapokeo?
 
Njoo tuanzishe ya KUPIGA kwenye sherehe ,misiba nk si unajua wabongo wanavyopenda sherehe tutatengeneza hela ile mbaya ,hatutajali ni muziki wa mbinguni ,duniani au kaswidwa
 
Wakuu,
Nilipokuwa likizo nilifurahia sana burdani ya muziki wa bendi. Sasa nafikiria kuanzisha yangu kama uwekezaji fulani.Nkaraibisha maoni yenu kama hii bizinesi ni ya ukweli au la.Pia naomba ushauri wa kitaalamu kuhusu vyombo,ufundi na usimamizi wake.
Shukran Awal....

wa kiduku utakulipa sana kaka! si unajua hadi huko juu ya mauongozi ya tanzania wanaifagilia?
 
Deodat, uhuru wa kuongea ninao. Kama ni mapokeo ama ni imani ama ni ndoto ama ni hadithi za Abunuwasi utajaza. Mdomo mali yangu ati. Heheheheh! Teh Teh Teh!
 
Safari naomba tuwasiliane mimi nimefanya kazi katika mazingira ya biashara unayotaka kuifanya siri nyingi za biashara hiyo nazijua. Nilikuwa Mhasibu wa Safari Sound Orchestra enzi za kina Ndala Kasheba za Dukuduku naujua muziki (ninauweza na nina kipaji cha kuimba kwa kujifurahisha siyo kwa kuajiriwa) ninafahamiana na wanamuziki wengi tu wa kikongo na wabongo. Ushauri wangu ni kwamba jee Unapenda Muziki? Kama unapenda muziki OK. Kama unataka kuanzisha bendi kwa sababu ya pesa tafuta shughuli ingine kwani utasononeka mambo yakiwa magumu. Jee vyombo unavyo au una mtaji wa kiasi gani kwa ajili ya kununua vyombo? Utapiga mziki wa aina gani? Rhumba, Bongo fleva au Jazz. Unategemea wateja gani watakuwa wanakuja kwenye muziki wako? Mwisho nipigie kwa ushauri zaidi. simu 0755394701
 
Safari naomba tuwasiliane mimi nimefanya kazi katika mazingira ya biashara unayotaka kuifanya siri nyingi za biashara hiyo nazijua. Nilikuwa Mhasibu wa Safari Sound Orchestra enzi za kina Ndala Kasheba za Dukuduku naujua muziki (ninauweza na nina kipaji cha kuimba kwa kujifurahisha siyo kwa kuajiriwa) ninafahamiana na wanamuziki wengi tu wa kikongo na wabongo. Ushauri wangu ni kwamba jee Unapenda Muziki? Kama unapenda muziki OK. Kama unataka kuanzisha bendi kwa sababu ya pesa tafuta shughuli ingine kwani utasononeka mambo yakiwa magumu. Jee vyombo unavyo au una mtaji wa kiasi gani kwa ajili ya kununua vyombo? Utapiga mziki wa aina gani? Rhumba, Bongo fleva au Jazz. Unategemea wateja gani watakuwa wanakuja kwenye muziki wako? Mwisho nipigie kwa ushauri zaidi. simu 0755394701

Ntakutafuta kaka....najua ugumu wa biashara hii kwa practical experiences lakini nadhani wamiliki wengi hawkufanya zaidi kujiimarisha...mimi ntafuata watakacho wapenzi lakini ninaona kama kuna age bracket(40+) wanakosa wanachotaka na kujikuta wako akatika haya mabongo flava ambayo kwa ajauaye utamu wa muziki wa vyombo hata ukubali.

Wazo langu ni kuwa na ukumbi wenye kila kitu pamoja na vyombo, bendi ziwe zinakuja zenyewe kama kundi la wanamuziki kwa hiyo mimi sitahusika na ajiara zao mmoja mmoja bali mkataba na makundi mathalani Ijumaa waje Msondo Jumamosi Sikinde nk...wapenzi wanabakia na loyalty kwa ukumbi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom