TATE
Member
- Aug 11, 2010
- 89
- 17
nataka kuandika email white house kuhusu concern yangu jinsi utawala wa Obama unavyofumbia macho injustice zinazoendelea Tanzania na kuishia kusifia serikali ya Kikwete kuhusu utawala bora, je hili ni wazo zuri? na je kuna mtu ashawahi kutuma email huko na je zinajibiwa?