1. Hakuna gari ya Allex inayotumia diesel
2. Kwa uzoefu wangu ninatumia gari ya diesel na petrol pia
TOFAUTI ZAO..diesel
a) Gari ya diesel ni gari ngumu, nyingi zina 4w hivyo utaenda popote majira yote
B) wese ni kawaida mengi yanaenda 10km /lita.
C) spare ni ghali japo inategemea aina ya gari lakini zinadumu hasa org hivyo ni ghali lakini ukichunguza vizuri sio ghali kwani zinadumu.
Mfano mimi tangu 2017 sijawahi nunua shock absorber wakati mtu wa Allex huenda amenunua zaidi ya mara 4
D) Gari ya diesel haichsnganyi mwendo kwa haraka lakini ikikolea ni tamu kwani nzito haiyumbi
Gari za petrol
1. Zafaa zaidi mijini hazina 4w, kwa watu wa masafa na pori kama mimi hazifai kwani hazimudu
2. Nyingi zinatumia lita 1 kwa 12km
3. Zinachanya mwendi haraka
5. Nyingi spare ni fake sana hasa toyota, inahitaji uzoefu kukwepa hili vinginevyo maduka ya spare yatakuwa sawa na nyumbani.
USHAURI WANGU
Nunua gari ya ndoto yako, uishi maisha yako.
Wabongo tumejaa ujuaji tena wa kuambia sio kuwa tunajua au tu wazoefu.